Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 683
Huyu jamaa shida ni nini wadau tusaidiane kumdadavua??
Anaitwa Mwijaku binafsi sijawahi kuona lolote la maana kwake leo naona kawafomea waandishi wa habari still bado wanamuuliza maswali tu inashangaza
Mara asambaze sijui picha za utupu duh yaani nakuwa hoves kabisa
Anaitwa Mwijaku binafsi sijawahi kuona lolote la maana kwake leo naona kawafomea waandishi wa habari still bado wanamuuliza maswali tu inashangaza
Mara asambaze sijui picha za utupu duh yaani nakuwa hoves kabisa