kipi bado gentleman 🤣Elimu ya uchaguzi wameshamaliza kwa wananchi wote?
Kwa hiyo uchaguzi wetu hauna maana hata kuufuatilia kwa sababu mshindi anajulikana?. Its a real shit hole country welcome Trump.sasa wewe mdogo wake mungu makasiriko ni ya nini wakati macho na maskio ya ulimwengu mzima yako kwenye uchaguzi wa marekani..
eti wewe na huyo muungwana ndugu yako muwe mnaripoti uchaguzi wa serikali za mitaa Tanzania wa November 27,
huo si uchawi na ushirikina huo 🤣
Tatizo ni kuwa wewe na hao waliokununua kuwafanyia uchawa mmefanya uchaguzi wa Tanzania umepoteza mvuto kabisa kwa umma wa Watanzania. Bora tufuatilie uchaguzi wa nchi yoyote duniani kuliko wa Tzsasa wewe mdogo wake mungu makasiriko ni ya nini wakati macho na maskio ya ulimwengu mzima yako kwenye uchaguzi wa marekani..
eti wewe na huyo muungwana ndugu yako muwe mnaripoti uchaguzi wa serikali za mitaa Tanzania wa November 27,
huo si uchawi na ushirikina huo 🤣
Media za Tanzania ni mbwa tu pamoja na wamiliki waoMain media karibu zote, Magazeti karibu yote, TV stations karibu zote zinaripoti uchaguzi wa Marekani kwa undani kabisa, kuna chaneli zimekesha zinaripoti huo uchaguzi, lakini cha ajabu hapa kwetu hazina habari wala haziripoti uchaguzi ulio mitaani kwao. Huu ni unafiki wa hali ya juu.
Mzee wa shit hole countries anarudi tujiandae kisaikolojia.
Hapo kwenye neno 'mshindi' ungeweka 'mbakaji', maana siyo ushindi halaliKwa hiyo uchaguzi wetu hauna maana hata kuufuatilia kwa sababu mshindi anajulikana?. Its a real shit hole country welcome Trump.
unaripoti nini hali ya kua ratiba yote ya uchaguzi wa serikali za mitaa iko wazi kwenye public domain gentleman?Kwa hiyo uchaguzi wetu hauna maana hata kuufuatilia kwa sababu mshindi anajulikana?. Its a real shit hole country.
mimi ni kiongozi wa wananchi siwez kununulika na wala siwez kubabaika na mihemko au makasiriko ya mtu yeyote gentleman..Tatizo ni kuwa wewe na hao waliokununua kuwafanyia uchawa mmefanya uchaguzi wa Tanzania umepoteza mvuto kabisa kwa umma wa Watanzania. Bora tufuatilie uchaguzi wa nchi yoyote duniani kuliko wa Tz
In short uchaguzi wetu hauna mvuto kwa sababu mchakato wote umechezewa, hauna ladha.unaripoti nini hali ya kua ratiba yote ya uchaguzi wa serikali za mitaa iko wazi kwenye public domain gentleman?
huo si utakua ushirikina huo 🤣
yaani ulimwengu macho na maskio ya ulimwengu mzima yako huko marekani, halafu wewe unaripoti uchaguzi ambao bado zaid ya majuma mawili kufanyika 🤣 huo utaku uchawi aise
Hakika kabisa mifano ni mingi wapo wanao jichewelesha makusudi!Uko sahihi uchaguzi wetu ni drama tupu ni uchaguzi wa chama kimoja CCM, mtendaji anakimbia polini kukwepa fomu za wapinzani.
Gentleman,In short uchaguzi wetu hauna mvuto kwa sababu mchakato wote umechezewa, hauna ladha.
Itakuwa hawataki kuripoti vitu vya kijingaMain media karibu zote, Magazeti karibu yote, TV stations karibu zote zinaripoti uchaguzi wa Marekani kwa undani kabisa, kuna chaneli zimekesha zinaripoti huo uchaguzi, lakini cha ajabu hapa kwetu hazina habari wala haziripoti uchaguzi ulio mitaani kwao. Huu ni unafiki wa hali ya juu.
Mzee wa shit hole countries anarudi tujiandae kisaikolojia.