Media za Tanzania zijifunze kutoka Kenya

Media za Tanzania zijifunze kutoka Kenya

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Kama umekuwa mfuatiliaji mzuri wa maudhui kutoka media mbalimbali utakubaliana nami kuwa media nyingi za Tanzania zimekuwa za kikasuku na burudani kuliko kazi nyingine za media nawashauri medias, wadau wa media na watangazaji kujifunza kutoka kwa ndugu zetu kenya, kuazia mpangilio wa vipindi, aina za watangazaji, maudhui na michakato ya uundaji wa maudhui. Hii itaondoa ukasuku kwenye media pamoja na watengeneza maudhui binafsi mtandaoni.

Nchi yenye media za kikasuku haiwezi kuendelea. Media ni nyenzo muhimu sana katika ukuaji wa uchumi na Utawala bora.

Asanteni.
 
Kama umekuwa mfuatiliaji mzuri wa maudhui kutoka media mbalimbali utakubaliana nami kuwa media nyingi za Tanzania zimekuwa za kikasuku na burudani kuliko kazi nyingine za media nawashauri medias, wadau wa media na watangazaji kujifunza kutoka kwa ndugu zetu kenya, kuazia mpangilio wa vipindi, aina za watangazaji, maudhui na michakato ya uundaji wa maudhui. Hii itaondoa ukasuku kwenye media pamoja na watengeneza maudhui binafsi mtandaoni.
Nchi yenye media za kikasuku haiwezi kuendelea. Media ni nyenzo muhimu sana katika ukuaji wa uchumi na Utawala bora.
Asanteni.
Ati unasema?
 
Kama umekuwa mfuatiliaji mzuri wa maudhui kutoka media mbalimbali utakubaliana nami kuwa media nyingi za Tanzania zimekuwa za kikasuku na burudani kuliko kazi nyingine za media nawashauri medias, wadau wa media na watangazaji kujifunza kutoka kwa ndugu zetu kenya, kuazia mpangilio wa vipindi, aina za watangazaji, maudhui na michakato ya uundaji wa maudhui. Hii itaondoa ukasuku kwenye media pamoja na watengeneza maudhui binafsi mtandaoni.

Nchi yenye media za kikasuku haiwezi kuendelea. Media ni nyenzo muhimu sana katika ukuaji wa uchumi na Utawala bora.

Asanteni.
labda wakajifunze kupokea rushwa na kurubuniwa na wanasiasa na vyama vyao 🐒
 
Kipindi kinitw SHILAWADU, mwingine anasema anapita mikoa yote,hata huko Duniani ni Bure tu kwa Sasa,Kwa wale wa zamani Kuna mahojiano ya Tido Mhando (BBC-London)aliwahoji wagombea urais wa Tanzania 1995 hadi mwingine alitaka kurusha ngumi
 
Kama umekuwa mfuatiliaji mzuri wa maudhui kutoka media mbalimbali utakubaliana nami kuwa media nyingi za Tanzania zimekuwa za kikasuku na burudani kuliko kazi nyingine za media nawashauri medias, wadau wa media na watangazaji kujifunza kutoka kwa ndugu zetu kenya, kuazia mpangilio wa vipindi, aina za watangazaji, maudhui na michakato ya uundaji wa maudhui. Hii itaondoa ukasuku kwenye media pamoja na watengeneza maudhui binafsi mtandaoni.

Nchi yenye media za kikasuku haiwezi kuendelea. Media ni nyenzo muhimu sana katika ukuaji wa uchumi na Utawala bora.

Asanteni.
Mimi naona watanzania wengi wanaogopa kuikosoa serikali na hili tatizo lipo hadi kwenye media hivyo waandishi wanatakiwa wasiogope kuzua mijadala inayoweza kuikosoa serikali ila sikubaliani na wewe eti waandishi wajifunze kwa wakenya naamini tuna waandishi wenye uweledi ila ndo wanaogopa kuikosoa serikali.
 
Mfungue investigative media zenu. Bongo ni taarifa za habari na entertainment, fungua chako. Mbona maelezo waliyatoa.

Wengi waliofungua tv and radios ni watu wa entertainment soko lilipo kibongo.
Alafu itv channel ten tbc zote ni za kuhabarisha.
Msiwapangie watu.
 
Mfungue investigative media zenu. Bongo ni taarifa za habari na entertainment, fungua chako. Mbona maelezo waliyatoa.

Wengi waliofungua tv and radios ni watu wa entertainment soko lilipo kibongo.
Alafu itv channel ten tbc zote ni za kuhabarisha.
Msiwapangie watu.
Investigetive bongo, labda kama umechoka kuishi.
 
Anzisha yako hiyo ndo fursa yenyewe. Kuna audience ya kusikiliza hayo maudhui lakini?
 
Shida sio waandishi wa hapa bongo naona ni pote tu,miaka hiyo BBC idhaa ya kiswahili saa 12 alfajiri usingizi unakata wenyewe,nahisi ni mfumo wa habari umebadilika tu,BBC wenyewe vita vya Gaza wako upande wa Israel,vita ya Urusi na Ukraine wapo upande wa Ukraine,vita vya Congo wapo upande wa M23
 
Back
Top Bottom