Francis pete kimati
Member
- Sep 10, 2024
- 22
- 15
Media zote bongo vipindi vinafanana .sehemu unaweza kupata habari za uhakika kwa sasa bongo ni Jamii Forums,Mwananchi na Jambo tv online .media nyingini ni........au bac
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaanh basi, mpe jibu hlo mtoa thread.Investigetive bongo, labda kama umechoka kuishi.
LoShida sio waandishi wa hapa bongo naona ni pote tu,miaka hiyo BBC idhaa ya kiswahili saa 12 alfajiri usingizi unakata wenyewe,nahisi ni mfumo wa habari umebadilika tu,BBC wenyewe vita vya Gaza wako upande wa Israel,vita ya Urusi na Ukraine wapo upande wa Ukraine,vita vya Congo wapo upande wa M23
Media za tz wakimuina dada Ana kalio kubwa bs kesho tu wanamuita kufanya naye mahojiano,wanazungmza kuhusu kalio lake kubwalabda wakajifunze kupokea rushwa na kurubuniwa na wanasiasa na vyama vyao 🐒
uko vizuri sana>Mwenyewe napata habari hukoMedia zote bongo vipindi vinafanana .sehemu unaweza kupata habari za uhakika kwa sasa bongo ni Jamii Forums,Mwananchi na Jambo tv online .media nyingini ni........au bac
Huku kwetu bongo, ni mimavi mitupu, pale WCB, kuna kenge wanajiita, wazee wa minyama, beberu, na upuuzi mwingine,Kama umekuwa mfuatiliaji mzuri wa maudhui kutoka media mbalimbali utakubaliana nami kuwa media nyingi za Tanzania zimekuwa za kikasuku na burudani kuliko kazi nyingine za media nawashauri medias, wadau wa media na watangazaji kujifunza kutoka kwa ndugu zetu kenya, kuazia mpangilio wa vipindi, aina za watangazaji, maudhui na michakato ya uundaji wa maudhui. Hii itaondoa ukasuku kwenye media pamoja na watengeneza maudhui binafsi mtandaoni.
Nchi yenye media za kikasuku haiwezi kuendelea. Media ni nyenzo muhimu sana katika ukuaji wa uchumi na Utawala bora.
Asanteni.
DahHuku kwetu bongo, ni mimavi mitupu, pale WCB, kuna kenge wanajiita, wazee wa minyama, beberu, na upuuzi mwingine,
Kuanzia asubuh, ni, udaku mtupu, na Jabari nyepesi, Jana watu wanazungumzia, eti piga simu, useme kwa miaka 48 ya ccm, umejifunza nini?surely! Kuna, Mambo ya, msingi, Vita Congo, misaada ya, USA, kenge wapo kwenye udaku!