Media za Tanzania zijifunze kutoka Kenya

Media zote bongo vipindi vinafanana .sehemu unaweza kupata habari za uhakika kwa sasa bongo ni Jamii Forums,Mwananchi na Jambo tv online .media nyingini ni........au bac
 
Lo
 
Kuna siku sijui ilikuwa station gani ile, mara ooh sijui una “ugwadu” wa kutosha.
Khaaaa!
 
Huku kwetu bongo, ni mimavi mitupu, pale WCB, kuna kenge wanajiita, wazee wa minyama, beberu, na upuuzi mwingine,
Kuanzia asubuh, ni, udaku mtupu, na Jabari nyepesi, Jana watu wanazungumzia, eti piga simu, useme kwa miaka 48 ya ccm, umejifunza nini?surely! Kuna, Mambo ya, msingi, Vita Congo, misaada ya, USA, kenge wapo kwenye udaku!
 
Dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…