Media zetu zinavyofunga akili zetu kwa minyororo ya michezo ya kubashiri

Media zetu zinavyofunga akili zetu kwa minyororo ya michezo ya kubashiri

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Kwa kiasi kikubwa mambo tunayoyafahamu yanajengwa (Shaped) na yale tunayoyaona na kuyasikia na jinsi tunavyoona na kusikia zaidi ndivyo yanavyozidi kutukaa akilini na kuwa sehemu ya maisha yetu.

Nilikuwa likizo siku za karibuni hivyo mara nyingi nyumbani nikiwa nafanya kazi ndogondogo nimekuwa nikisiliza redio

Kikubwa kilichonishtua sana na kunileta humu kuandika haya ni kiasi kikubwa na nguvu kubwa inayowekwa katika matangazo ya michezo ya kubahatisha.

Kwa sasa inaonekana kila kituo cha redio kina mchezo wake ambao wengine hutoa washindi kwa dakika kadhaa, kwa saa kadhaa, kwa siku na kwa wiki.

Kuna wale wanajiita MCHONGO PESA kuna wengine CHOTA MIHELA yaani hakuna pa kujificha.

Nimegundua pia matangazo haya yanakwenda pia kwenye TV na hata kwenye mitandao ya Kijamii

Mbaya zaidi ni nguvu kubwa ya ushawishi inayotumika kwenye hilo.
Mshindi anapigiwa simu mubashara na kueleza anavyoshiriki na kushinda ili kuwapa moto na motisha wengine ili kuwanasa.

Nafasi ya ushindi kwenye michezo yoyote ya kubahatisha ni ndogo sana.
na haipo kwenye udhibiti wako, ukifanya hesabu za PROBABILIYT utanielewa katika hili.

Hoja yangu hapa ni namna MEDIA zetu zinavyotumia nguvu kubwa kupandikiza mawazo ya kuishi kwa kubahatisha, kuishi kwa kubashiri na namna ambavyo hakuna mamlaka zinaona au kuingilia kusimamia na ku-regulate hili.

Inaweza kuwa mimi nawaza tofauti na wengi na hakuna tatizo lolote juu ya kinachoendelea, vipi wadau vipi ninyi mmeliona hili? na kama jibu ni ndio nini mtazamo wenu
Untitled design (14).jpg
 
Umefungwa akili wewe ambaye unadhani utatoa buku yako ushinde milioni kumi tu bila kuitolea jasho

Michezo yenyewe ukihoji uhalali wake kwa kina unaambiwa unaharibu biashara za watu, hali ni ngumu wanatafuta hadi hizo bukubuku zenu....

HAKUNA HELA RAHISI KIHIVYO, LAZIMA USOTE NAKUITOLEA JASHO
 
Umefungwa akili wewe ambaye unadhani utatoa buku yako ushinde milioni kumi tu bila kuitolea jasho

Michezo yenyewe ukihoji uhalali wake kwa kina unaambiwa unaharibu biashara za watu, hali ni ngumu wanatafuta hadi hizo bukubuku zenu....

HAKUNA HELA RAHISI KIHIVYO, LAZIMA USOTE NAKUITOLEA JASHO
Yawezekana wewe si mmoja wao lakini kazi yetu sio kuwaza kuhusu sisi tu, tunapaswa kuwaza na wengine wasio na uwezo wa kuchambua na kuchagua vyema
 
Kwa kiasi kikubwa mambo tunayoyafahamu yanajengwa (Shaped) na yale tunayoyaona na kuyasikia na jinsi tunavyoona na kusikia zaidi ndivyo yanavyozidi kutukaa akilini na kuwa sehemu ya maisha yetu.

Nilikuwa likizo siku za karibuni hivyo mara nyingi nyumbani nikiwa nafanya kazi ndogondogo nimekuwa nikisiliza redio

Kikubwa kilichonishtua sana na kunileta humu kuandika haya ni kiasi kikubwa na nguvu kubwa inayowekwa katika matangazo ya michezo ya kubahatisha.

Kwa sasa inaonekana kila kituo cha redio kina mchezo wake ambao wengine hutoa washindi kwa dakika kadhaa, kwa saa kadhaa, kwa siku na kwa wiki.

Kuna wale wanajiita MCHONGO PESA kuna wengine CHOTA MIHELA yaani hakuna pa kujificha.

Nimegundua pia matangazo haya yanakwenda pia kwenye TV na hata kwenye mitandao ya Kijamii

Mbaya zaidi ni nguvu kubwa ya ushawishi inayotumika kwenye hilo.
Mshindi anapigiwa simu mubashara na kueleza anavyoshiriki na kushinda ili kuwapa moto na motisha wengine ili kuwanasa.

Nafasi ya ushindi kwenye michezo yoyote ya kubahatisha ni ndogo sana.
na haipo kwenye udhibiti wako, ukifanya hesabu za PROBABILIYT utanielewa katika hili.

Hoja yangu hapa ni namna MEDIA zetu zinavyotumia nguvu kubwa kupandikiza mawazo ya kuishi kwa kubahatisha, kuishi kwa kubashiri na namna ambavyo hakuna mamlaka zinaona au kuingilia kusimamia na ku-regulate hili.

Inaweza kuwa mimi nawaza tofauti na wengi na hakuna tatizo lolote juu ya kinachoendelea, vipi wadau vipi ninyi mmeliona hili? na kama jibu ni ndio nini mtazamo wenuView attachment 2297763
Kila mtu wanamshawishi kwamba itamtoa kimaisha.

Mnabeti watu 1000 na mshindi ni mmoja.
 
Umefungwa akili wewe ambaye unadhani utatoa buku yako ushinde milioni kumi tu bila kuitolea jasho

Michezo yenyewe ukihoji uhalali wake kwa kina unaambiwa unaharibu biashara za watu, hali ni ngumu wanatafuta hadi hizo bukubuku zenu....

HAKUNA HELA RAHISI KIHIVYO, LAZIMA USOTE NAKUITOLEA JASHO
Hali ni mbaya. Unakuta wanampigia mtu yuko huko Kyela mkulima asiye na mbele wa nyuma eti kashinda milioni 10.🤣🤣🤣
 
Hivi ulishagundua wengi wanaopata hizi hela utasikia mimi ni mkulima, mwendesha bodaboda, mama ntilie na mjasiriamali.....
Hahahaa pale ndio nachoka sana. Yaani Mama ntilie wa Dumila anacheza Kamali kwenye mtandao kuliko Mama mcharuko wa Gongolamboto na Mwananyamala? Huwa siamini na hainiingii akilini.
 
Hahahaa pale ndio nachoka sana. Yaani Mama ntilie wa Dumila anacheza Kamali kwenye mtandao kuliko Mama mcharuko wa Gongolamboto na Mwananyamala? Huwa siamini na hainiingii akilini.
WANATUPANGA SANA HAWA, HALAFU WATANGAZAJI HAWARUHUSIWI KUSHIRIKI
 
Hoja yangu hapa ni namna MEDIA zetu zinavyotumia nguvu kubwa kupandikiza mawazo ya kuishi kwa kubahatisha, kuishi kwa kubashiri na namna ambavyo hakuna mamlaka zinaona au kuingilia kusimamia na ku-regulate hili.
Hayo makampuni ya ubashiri ni walipa Kodi wazuri sana na wadhamini wa vilabu vyetu pendwa.....ila tukubali tu hakuna taifa lililoendeleza jamii yake kwa michezo ya kubet.
 
Kwa kiasi kikubwa mambo tunayoyafahamu yanajengwa (Shaped) na yale tunayoyaona na kuyasikia na jinsi tunavyoona na kusikia zaidi ndivyo yanavyozidi kutukaa akilini na kuwa sehemu ya maisha yetu.

Nilikuwa likizo siku za karibuni hivyo mara nyingi nyumbani nikiwa nafanya kazi ndogondogo nimekuwa nikisiliza redio

Kikubwa kilichonishtua sana na kunileta humu kuandika haya ni kiasi kikubwa na nguvu kubwa inayowekwa katika matangazo ya michezo ya kubahatisha.

Kwa sasa inaonekana kila kituo cha redio kina mchezo wake ambao wengine hutoa washindi kwa dakika kadhaa, kwa saa kadhaa, kwa siku na kwa wiki.

Kuna wale wanajiita MCHONGO PESA kuna wengine CHOTA MIHELA yaani hakuna pa kujificha.

Nimegundua pia matangazo haya yanakwenda pia kwenye TV na hata kwenye mitandao ya Kijamii

Mbaya zaidi ni nguvu kubwa ya ushawishi inayotumika kwenye hilo.
Mshindi anapigiwa simu mubashara na kueleza anavyoshiriki na kushinda ili kuwapa moto na motisha wengine ili kuwanasa.

Nafasi ya ushindi kwenye michezo yoyote ya kubahatisha ni ndogo sana.
na haipo kwenye udhibiti wako, ukifanya hesabu za PROBABILIYT utanielewa katika hili.

Hoja yangu hapa ni namna MEDIA zetu zinavyotumia nguvu kubwa kupandikiza mawazo ya kuishi kwa kubahatisha, kuishi kwa kubashiri na namna ambavyo hakuna mamlaka zinaona au kuingilia kusimamia na ku-regulate hili.

Inaweza kuwa mimi nawaza tofauti na wengi na hakuna tatizo lolote juu ya kinachoendelea, vipi wadau vipi ninyi mmeliona hili? na kama jibu ni ndio nini mtazamo wenuView attachment 2297763
Hii michezo inasimamiwa na Bodi ya michezo ya kubahatisha TZ.
 
Shughuli yoyote isiyotokeza huduma au bidhaa kwa jamii haipaswi kuitwa kazi hata kama imeleta kipato.

Nakubaliana na walioharamisha hizi mambo.

Na wanaotumia sijawatenga ndugu zangu ila ushauri ni mkipata hizo hela basi wekezeni kwenye bidhaa na huduma halisi. Usije hata siku moja ukasema 'kazi yangu ni kubeti tu'

Kubeti ukifanya kama mchezo wa kujifurahisha haina madhara sana, tatizo lipo kwenye kuifanya ndo kazi tu
 
Shughuli yoyote isiyotokeza huduma au bidhaa kwa jamii haipaswi kuitwa kazi hata kama imeleta kipato.

Nakubaliana na walioharamisha hizi mambo.

Na wanaotumia sijawatenga ndugu zangu ila ushauri ni mkipata hizo hela basi wekezeni kwenye bidhaa na huduma halisi. Usije hata siku moja ukasema 'kazi yangu ni kubeti tu'

Kubeti ukifanya kama mchezo wa kujifurahisha haina madhara sana, tatizo lipo kwenye kuifanya ndo kazi tu
[emoji1787]
 
Back
Top Bottom