KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Taifa la wacheza kamari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kila radio msikariri radio za dini hazitangazi hizo taarifa mkuu msijitoe ufahamu.Kwasasa kila radio ina bahati nasibu yake
Radio za dini zinapiga zile buku-buku za sadaka kwa njia ya Mpesa ni wale-wale tuSio kila radio msikariri radio za dini hazitangazi hizo taarifa mkuu msijitoe ufahamu..
Sasa hio sio Kamari usijitoe ufahamu hivi unaelewa maana ya Kamari wewe au unajotoa ufahamu?Radio za dini inapiga zile buku-buku za sadaka kwa njia ya Mpesa ni wale-wale tu
Wamechelewa sanaWiki nzima redio free wamtoa matangazo ya kutuweka attention leo tar 15 kumbe jambo lenyewe ni mchezo wa bahati nasibu wanaita PAKUA.
Eti ni fadhila kwa wasikilizaji kwa kuleta bahati nasibu. Kweli?
Walikuwa wanasikilizia upepo. Na baada ya pesa ya mayangazo kupeleaWamechelewa sana
Wachezesha kamari na hao wauza upako wote ni wezi na walaghai.Sasa hio sio Kamari usijitoe ufahamu hivi unaelewa maana ya Kamari wewe au unajotoa ufahamu?
Huna Akili..Wachezesha kamari na hao wauza upako wote ni wezi na walaghai.
Ningelikua na mamlaka fulani ya juu nchi hii [emoji847] ningelipiga marufuku michezo yote inayo husiha bahati na sibu, sijui kamari ikiwemo kubeti vile vi dude vya wachina wanavyo weka 200 ili kucheza n.k nguvu kazi ya taifa ina lemazwa.
Radio za dini ndio takataka kabisa, hawa wanatumia mwamvul wa sadaka kuibia watu kinyenyekevu, mamichango yasiyo na tija, kama hilo liredio maria ndio hovyo kabisa vipind vya michango daily mpka mtu unajiulza wanaoendesha hizi radio station walkuwa na malengo gani ya kuanzisha? Kama hawakuwa na mitaji si wangeacha tu?Sio kila radio msikariri radio za dini hazitangazi hizo taarifa mkuu msijitoe ufahamu.
Mkuu unatakiwa kuelewa kuwa media zinatumia michezo ya kubashiri kutega waskilizaji kutokana na kuwa wasikilizaji wa redio wamepungua sana kutokana na mabadiliko ya kidijitaliKwa kiasi kikubwa mambo tunayoyafahamu yanajengwa (Shaped) na yale tunayoyaona na kuyasikia na jinsi tunavyoona na kusikia zaidi ndivyo yanavyozidi kutukaa akilini na kuwa sehemu ya maisha yetu.
Nilikuwa likizo siku za karibuni hivyo mara nyingi nyumbani nikiwa nafanya kazi ndogondogo nimekuwa nikisiliza redio
Kikubwa kilichonishtua sana na kunileta humu kuandika haya ni kiasi kikubwa na nguvu kubwa inayowekwa katika matangazo ya michezo ya kubahatisha.
Kwa sasa inaonekana kila kituo cha redio kina mchezo wake ambao wengine hutoa washindi kwa dakika kadhaa, kwa saa kadhaa, kwa siku na kwa wiki.
Kuna wale wanajiita MCHONGO PESA kuna wengine CHOTA MIHELA yaani hakuna pa kujificha.
Nimegundua pia matangazo haya yanakwenda pia kwenye TV na hata kwenye mitandao ya Kijamii
Mbaya zaidi ni nguvu kubwa ya ushawishi inayotumika kwenye hilo.
Mshindi anapigiwa simu mubashara na kueleza anavyoshiriki na kushinda ili kuwapa moto na motisha wengine ili kuwanasa.
Nafasi ya ushindi kwenye michezo yoyote ya kubahatisha ni ndogo sana.
na haipo kwenye udhibiti wako, ukifanya hesabu za PROBABILIYT utanielewa katika hili.
Hoja yangu hapa ni namna MEDIA zetu zinavyotumia nguvu kubwa kupandikiza mawazo ya kuishi kwa kubahatisha, kuishi kwa kubashiri na namna ambavyo hakuna mamlaka zinaona au kuingilia kusimamia na ku-regulate hili.
Inaweza kuwa mimi nawaza tofauti na wengi na hakuna tatizo lolote juu ya kinachoendelea, vipi wadau vipi ninyi mmeliona hili? na kama jibu ni ndio nini mtazamo wenuView attachment 2297763
Matajiri huwekeza katika cash flow sasa kwa betting cash flow yake sio.MATAJIRI WAKUBWA HUTASIKIA WAKICHEZA