Media zetu zinavyofunga akili zetu kwa minyororo ya michezo ya kubashiri

Redio zilianzishwa kwaajili ya watu maskini, kaa ndani msikilize anayelipwa mshahara, matangazoya biashara yapo kwa ajili yako, Ndo maana namkubali sana Chibude#Wasafibet.
 
Reactions: Ok9
Hivi Mamlaka zinaregulate hii michezo au watu wanajiendeshea tu
 
Wiki nzima redio free wamtoa matangazo ya kutuweka attention leo tar 15 kumbe jambo lenyewe ni mchezo wa bahati nasibu wanaita PAKUA.

Eti ni fadhila kwa wasikilizaji kwa kuleta bahati nasibu. Kweli?
Wamechelewa sana
 
Reactions: Ok9
Noma kweli hakuna mada zaidi ya kamari
 
Ningelikua na mamlaka fulani ya juu nchi hii [emoji847] ningelipiga marufuku michezo yote inayo husiha bahati na sibu, sijui kamari ikiwemo kubeti vile vi dude vya wachina wanavyo weka 200 ili kucheza n.k nguvu kazi ya taifa ina lemazwa.
 
huku ukitoa ajira.
Ningelikua na mamlaka fulani ya juu nchi hii [emoji847] ningelipiga marufuku michezo yote inayo husiha bahati na sibu, sijui kamari ikiwemo kubeti vile vi dude vya wachina wanavyo weka 200 ili kucheza n.k nguvu kazi ya taifa ina lemazwa.
 
Sio kila radio msikariri radio za dini hazitangazi hizo taarifa mkuu msijitoe ufahamu.
Radio za dini ndio takataka kabisa, hawa wanatumia mwamvul wa sadaka kuibia watu kinyenyekevu, mamichango yasiyo na tija, kama hilo liredio maria ndio hovyo kabisa vipind vya michango daily mpka mtu unajiulza wanaoendesha hizi radio station walkuwa na malengo gani ya kuanzisha? Kama hawakuwa na mitaji si wangeacha tu?

Kuna vipndi vingi vya kulazimsha watu wahudhulie kwenye makongamano bila kusahau sadaka na michango hovyo kbsa
 
Mkuu unatakiwa kuelewa kuwa media zinatumia michezo ya kubashiri kutega waskilizaji kutokana na kuwa wasikilizaji wa redio wamepungua sana kutokana na mabadiliko ya kidijitali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…