Media zikiendekeza ujinga huu familia nyingi zitasambaratika, taifa litajaa wahuni.

Media zikiendekeza ujinga huu familia nyingi zitasambaratika, taifa litajaa wahuni.

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Screenshot_20240813-125939_1.jpg


Wanaume nao watajitokeza kulalamika kuwa walibakwa na wake zao.

Na itakuwa vipi watoto wakiyasikia ama kuyasoma malalamiko haya ya wazazi wao?

N. B . BTW ashakuwa bibi, hii hadithi yake ni ya 2003.
 
NIlimsikia asubuhi, walitoka out na jamaa akamtilia kilevi akaenda kumlala na mimba ikaingia sawia...
Nadhani watu wanatofautisha kubakwa(na watu wasiojulikana au wanaojulikana lakini kwania hovu mfn kukuteka kukuvizia ama kukutana nao bahati mbaya katika maeneo hatarishi)
Na Ile kufanya mapenzi bila kuwa tayari kwa jambo Hilo na mtu asiye rasmi au wakati huo
ama kwa ushawishi wa kitu Fulani au jambo Fulani na Bado mkaendeleza UHUSIANO na huyo mtu
Eidha kutorudia kufanya Tena Hilo jambo ama kurudia na UHUSIANO ukaendelea

Nadhani kwa namna Si sahihi watu wanatumia neno KUBAKWA katika Hali kama hiyo kufanya watu waone mtu amefanya jambo baya sana kumbe ni tamaa zake ndo zikampelekea kutombwa bila kuwa tayari kwa jambo hilo mwisho inakuwa ni MIMBA

NDO MANA SHERIA YA TANZANIA HAITAMBUI MUME KUMBAKA MKE
ILA UNAWEZA UKASIKILIZWA IKIWA MKE ATATHIBITISHA MUME ANAMUINGILIA KINYUME NA MAUMBILE

hivyo huyo MALAYA tamaa zake ndo zilimponza kula vya watu Kisha kutoa QYUMA hataki shubamiti zake
 
View attachment 3068605

Wanaume nao watajitokeza kulalamika kuwa walibakwa na wake zao.

Na itakuwa vipi watoto wakiyasikia ama kuyasoma malalamiko haya ya wazazi wao?
Mpaka anafikia kuyasema hayo alishitaki polisi alipobakwa? Au ndiyo alikuwa anangoja ushahidi wa mimba au ukimwi?

Wengine hawa utakuta alipanuwa miguu mwenyewe na alikuwa anasema, tamu tamu tamu. Sasa wakiona hawapewi huduma wanasingizia kubakwa.

Serikali, hususan Ustawi wa Jamii ulishighulikie hili, wasionewe waty kijinga.

Huyu ambae hajashitaki kubakwa "alipobakwa" achukukiwe hatua kali za kisheria. Iwe fundisho kwa wengine.

Dkt. Gwajima D tukio hilo, changamkia.
 
Mpaka anafikia kuyasema hayo alishitaki polisi alipobakwa? Au ndiyo alikuwa anangoja ushahidi wa mimba au ukimwi?

Wenginehawa walupanuwa miguu mwenyewe na qalikuws wsnasema tamu , tamu. Sasa wakiona hawapewi huduma qanasingizia kubakwa.

Serikali, hususan Ustawi wa Jamii ulishighulikie hili.

Dkt. Gwajima D tukio hilo, changamkia.
Nimependa hapo tamu tamu😂😂😂
 
We shoga unakurupuka sana huyo alibakwa ndio akazaa huyo mtoto mkwundu wako.
 
Nadhani watu wanatofautisha kubakwa(na watu wasiojulikana au wanaojulikana lakini kwania hovu eg kukuteka kukuvizia ama kukutana nao bahati mbaya katika maeneo hatarishi)
na kufanya mapenzi bila kuwa tayari kwa jambo Hilo na mtu asiye rasmi au kwa ushawishi wa kitu Fulani au jambo Fulani na Bado mkaendeleza UHUSIANO na huyo na kutorudia kufanya Tena Hilo jambo au kurudia na UHUSIANO ukaendelea
Nadhani kwa namna SIsahihi yat watu wanatumia KUBAKWA katika Hali kufanya watu waonekane mtu amefanya jambo baya sana kumbe ni tamaa zake ndo zikampelekea kutombwa bila kuwa tayari kwa jambo mwisho MIMBA
NDO MANA SHERIA YA TANZANIA HAITAMBUI MUME KUMBAKA MKE
ILA UNAWEZA UKASIKILIZWA IKIWA MKE ATATHIBITISHA MUME ANAMUINGILIA KINYUME NA MAUMBILE
hivyo huyo MALAYA tamaa zake ndo zilimponza kula vya watu Kisha kutoa QYUMA hataki shubamiti zake
Mwandiko huu utausoma mwenyewe.
 
Back
Top Bottom