Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
- Thread starter
- #21
Huu unaongelea ni ubashiri sio utabiriAweke treni la Ods 1000 tu ili tuweze kujadili hii mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu unaongelea ni ubashiri sio utabiriAweke treni la Ods 1000 tu ili tuweze kujadili hii mada
Duh kumbe!!!Hi
Hiyo ni sector nyingine mkuu, pesa hairogeki
Mimi siwezi kutabiri, wewe mwenye uwezo wa kutabiri ingia Sportpesa wana mechi 17 ukitabiri kwa usahihi matokeo yake kuna bilioni moja unaipata.Mkuu uwezi control utabiri nini ?
Dadeki mkuu hii si nisawa Mudi kumwita Mo au mimi ndio sielewi?Huu unaongelea ni ubashiri sio utabiri
Anazingua huyo!Dadeki mkuu hii si nisawa Mudi kumwita Mo au mimi ndio sielewi?
Ibada kumuelekea nani?Mimi nafanya kama ibada kama nilivyofundishwa
Acha kudhihaki imani yangu?Ibada kumuelekea nani?
Andiko gani linasema usali gizani na ukae katikati ya mishumaa?
Hizo ni ibada za kishetani.
Au atuletee utabiri wake kwenye mechi kumi tuweke correct score.Aweke treni la Ods 1000 tu ili tuweze kujadili hii mada
Inabakia kuwa stories za abunuwasi mkuu, uchawi wala utabiri haufiki hukuu🤣🤣
Mungu anamuomba sanaTumia muda mwingi kumuomba Mungu
Wahi milembe haraka sana.Nilizoea na kupata utulivu mkumbwa sana wa akili ila sasa navuka mipaka na inaniletea madhara makubwa.
Nimekuwa na uwezo wa kuongea na roho nyingi na uwezo wa kutabiri na kujidhibiti kifikra.
habari, nikutoe wasi kuwa huo si uchawi bali ni uwezo na uunngu ulio ndani yako.Habari zenu,
Nimekuja hapa kuomba msaada wa haraka.
Ni miaka miwili nipokwenye hizi ibada za meditisha na Taamuli .
Nilizoea na kupata utulivu mkumbwa sana wa akili ila sasa navuka mipaka na inaniletea madhara makubwa.
Nimekuwa na uwezo wa kuongea na roho nyingi na uwezo wa kutabiri na kujidhibiti kifikra.
Nimeshatabiria zaidi ya watu 4 kifo ikiwemo aliyenifundisha hii Taamuli ambaye ni BABU yangu. Sasa imefikia wakati nikiwa kwenye taamuli baada ya kuwasha mishumaa yangu katika mduara wa nyota nashindwa kujicontrol kama mwanzo nafanya vitu vingine vipya kama kutoa maneno madomoni nisiyojua maana yake.
Kuzidiwa na nguvu na mwili kukakamaa .
Kwa mwenye ujuzi wa Taamuli nawezaje kuacha?
Hao matapeli Maisha magumu yamewafanya wawe wajinga na kujikita kwnye uchawi.Tabiri Jackpot ya Sportpesa mkuu upige bingo ìle bilioni yao