Meek Mill adai hamjui Harmonize kama ni msanii

Meek Mill adai hamjui Harmonize kama ni msanii

Diamond ataendea kuwa msanii mwenye thamani kubwa by far, the rest wamekuwa cheap kiasi hichi Acha kazi yake ikutangaze kuliko kwenda dm ni kujidhalilisha huwezi ukawa ni msanii mkubwa ukawa unakesha kwenye dm za wasanii
Ndio falsafa ya Uchawa inavyo elekeza.
 
MEEK MILL HAJUI KAMA HARMONIZE NI MWANAMUZIKI

Baada Ya Harmonize Kumtumia Meseji Meek Mill Kuomba Ampe Kolabo, Meek Mill Alijibu Kwa Mshituko Akisema "Wewe Ni Msanii Kutoka Afrika? Sijawahi Kusikia". Baada Ya Meek Mill Kuonesha Hamfahamu Harmonize Imemlazimu Harmonize Aombe Msaada Kwa Mashabiki Wamsaidie Kumwambia Meek Mill Kwamba Harmonize Ni Msanii Mkubwa.

Kumbe harmonize bado sana ....anga za kimataifa [emoji23]View attachment 3021198
Wasanii wetu wamezoea mambo ya DM wakati huko mbele bila introduction kutoka kwa mtu wake wa karibu hupati kitu.
 
MEEK MILL HAJUI KAMA HARMONIZE NI MWANAMUZIKI

Baada Ya Harmonize Kumtumia Meseji Meek Mill Kuomba Ampe Kolabo, Meek Mill Alijibu Kwa Mshituko Akisema "Wewe Ni Msanii Kutoka Afrika? Sijawahi Kusikia". Baada Ya Meek Mill Kuonesha Hamfahamu Harmonize Imemlazimu Harmonize Aombe Msaada Kwa Mashabiki Wamsaidie Kumwambia Meek Mill Kwamba Harmonize Ni Msanii Mkubwa.

Kumbe harmonize bado sana ....anga za kimataifa [emoji23]View attachment 3021198
Nani kavujisha hii dm
 
Diamond ataendea kuwa msanii mwenye thamani kubwa by far, the rest wamekuwa cheap kiasi hichi Acha kazi yake ikutangaze kuliko kwenda dm ni kujidhalilisha huwezi ukawa ni msanii mkubwa ukawa unakesha kwenye dm za wasanii
Kweli
 
Back
Top Bottom