Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule posh MATAKO makubwa?Posh ndo meneja wake
Ndio falsafa ya Uchawa inavyo elekeza.Diamond ataendea kuwa msanii mwenye thamani kubwa by far, the rest wamekuwa cheap kiasi hichi Acha kazi yake ikutangaze kuliko kwenda dm ni kujidhalilisha huwezi ukawa ni msanii mkubwa ukawa unakesha kwenye dm za wasanii
Wasanii wetu wamezoea mambo ya DM wakati huko mbele bila introduction kutoka kwa mtu wake wa karibu hupati kitu.MEEK MILL HAJUI KAMA HARMONIZE NI MWANAMUZIKI
Baada Ya Harmonize Kumtumia Meseji Meek Mill Kuomba Ampe Kolabo, Meek Mill Alijibu Kwa Mshituko Akisema "Wewe Ni Msanii Kutoka Afrika? Sijawahi Kusikia". Baada Ya Meek Mill Kuonesha Hamfahamu Harmonize Imemlazimu Harmonize Aombe Msaada Kwa Mashabiki Wamsaidie Kumwambia Meek Mill Kwamba Harmonize Ni Msanii Mkubwa.
Kumbe harmonize bado sana ....anga za kimataifa [emoji23]View attachment 3021198
Nani kavujisha hii dmMEEK MILL HAJUI KAMA HARMONIZE NI MWANAMUZIKI
Baada Ya Harmonize Kumtumia Meseji Meek Mill Kuomba Ampe Kolabo, Meek Mill Alijibu Kwa Mshituko Akisema "Wewe Ni Msanii Kutoka Afrika? Sijawahi Kusikia". Baada Ya Meek Mill Kuonesha Hamfahamu Harmonize Imemlazimu Harmonize Aombe Msaada Kwa Mashabiki Wamsaidie Kumwambia Meek Mill Kwamba Harmonize Ni Msanii Mkubwa.
Kumbe harmonize bado sana ....anga za kimataifa [emoji23]View attachment 3021198
Katoro ya geita mkuuMi mwenyewe Nick40 simjui Nipo huku Katoroo,namjuaa Kiba,Daimond na Budagalaa.Mikmill aeleweke sawa.
😂😂😂🙌Hata hapa tz watu wengi hawamjui.
KweliDiamond ataendea kuwa msanii mwenye thamani kubwa by far, the rest wamekuwa cheap kiasi hichi Acha kazi yake ikutangaze kuliko kwenda dm ni kujidhalilisha huwezi ukawa ni msanii mkubwa ukawa unakesha kwenye dm za wasanii