Hii ni kweli,na ni jambo la kushangaza,waamerika wengi weusi,ni mashoga,nafikiri huu ni mkakati maalumu wa taifa hilo.Huwenda ikawa toka wakati wanazaliwa labda wanapewa dawa za kuwa hivyo,sina uhakika,ila wataalamu waje watuambie.View attachment 2927150BURUDANI Rapa Meek Mill wa Marekani ameweka wazi kuhusu kuutaka uraia wa Ghana baada ya kuchoshwa na vitendo vya kinyanyasaji kwa watu weusi nchini Marekani ikiwemo ulawiti uliokithiri kwa wanaume
Mill ameandika hayo kupitia mtandao wake wa X ambapo anadai anautaka uraia wa Ghana kwasababu Marekani ipo kwa ajili ya kuwabomoa wanaume weusi.
Kipindi cha hivi karibuni Meek Mill ametajwa kwenye skendo ya kushiriki mapenzi ya jinsia moja na Rapa P Diddy ambaye tayari ana kesi ya unyanyasaji wa kijinsia nchini Marekani.
Waliojaribu wengi walirudi.View attachment 2927150BURUDANI Rapa Meek Mill wa Marekani ameweka wazi kuhusu kuutaka uraia wa Ghana baada ya kuchoshwa na vitendo vya kinyanyasaji kwa watu weusi nchini Marekani ikiwemo ulawiti uliokithiri kwa wanaume
Mill ameandika hayo kupitia mtandao wake wa X ambapo anadai anautaka uraia wa Ghana kwasababu Marekani ipo kwa ajili ya kuwabomoa wanaume weusi.
Kipindi cha hivi karibuni Meek Mill ametajwa kwenye skendo ya kushiriki mapenzi ya jinsia moja na Rapa P Diddy ambaye tayari ana kesi ya unyanyasaji wa kijinsia nchini Marekani.
Mzushi tu. Hakuna mtu mweusi wa America anayetamani kuhamia Africa. Huwa wanajifanya wanaijali Africa lakini kiukweli hawana mpango nayo kabisa.View attachment 2927150
BURUDANI Rapa Meek Mill wa Marekani ameweka wazi kuhusu kuutaka uraia wa Ghana baada ya kuchoshwa na vitendo vya kinyanyasaji kwa watu weusi nchini Marekani ikiwemo ulawiti uliokithiri kwa wanaume
Mill ameandika hayo kupitia mtandao wake wa X ambapo anadai anautaka uraia wa Ghana kwasababu Marekani ipo kwa ajili ya kuwabomoa wanaume weusi.
Kipindi cha hivi karibuni Meek Mill ametajwa kwenye skendo ya kushiriki mapenzi ya jinsia moja na Rapa P Diddy ambaye tayari ana kesi ya unyanyasaji wa kijinsia nchini Marekani.
Bullshit.Hii ni kweli,na ni jambo la kushangaza,waamerika wengi weusi,ni mashoga,nafikiri huu ni mkakati maalumu wa taifa hilo.Huwenda ikawa toka wakati wanazaliwa labda wanapewa dawa za kuwa hivyo,sina uhakika,ila wataalamu waje watuambie.
Wanakuwa kama wamepagawa hvBlacks wakipata hela wanafanya ushenzi ushenzi sana.