Meena Ally anaendaje Polisi kushitaki wakati ameishaikana video?

Meena Ally anaendaje Polisi kushitaki wakati ameishaikana video?

Status
Not open for further replies.
Kwamba hapa Tanzania career yako itaharibika kisa nudes?

Wapo wengi ambao video na picha zao zilionwa na hadhara ila hadi leo wapo na maisha yao wengine wana hadi ubalozi
Uhuru na uwezo wa fikra.

Kama unaona hakuna tatizo wala madhara utupu wako ukizagaa kwenye jamii ni sawa ila sheria za nchi haziruhusu na adhabu zipo hayo ni madhara tosha.
 
Ni sawa na mtu akuambie ni WEWE SHOGA wkt ww unahisi sio
 
" Na huyu alie leta taarifa za video humu Jamii forum na kuambatanisha screen shot. Polisi wana haki ya kumtafuta na kumhoji kwa madai ya kumchafua mtu ? "
Copy and pasted
 
Sababu kuna video imeeditiwa na imeandikwa jina lake. Anataka hao waliofanya hivyo wakamatwe. Yupo sahihi, clouds wamsaidie na wengine pia tumsaidie huyu binti kuokoa carrier yake kulingana na nafasi zetu. Kama kasema si yeye basi sio yeye.
Kusema si yeye hakumfanyi kuwa si yeye, there're always several sides of the story, her side of the story vs the other side of the story vs the truth.
Hiki kitendawili sidhani kama kitateguliwa kirahisi.
 
Sababu kuna video imeeditiwa na imeandikwa jina lake. Anataka hao waliofanya hivyo wakamatwe. Yupo sahihi, clouds wamsaidie na wengine pia tumsaidie huyu binti kuokoa carrier yake kulingana na nafasi zetu. Kama kasema si yeye basi sio yeye.
jina lake ni kauthar rashidi kama sikosei... kama ana hati milki na jina analo liita ni brand sawa... na ina wezekana kuna mtu hiyo mina ally sio brand ni jina lake halisi
 
Huelewi sheria ndio maana unaandika kwa kutumia emoji zaidi badala ya hoja. Kaenda kushitaki kwa sababu ni damage kwake, wewe ikidaiwa umekunya meza ya hotelini na ukakana hakuna kinachoaminiwa kwa kanusho lako. Kwenda mahakamani utashitaki anayedai hivyo aje atoe evidence, akishindwa ndio kanusho lako limekamilika na hauko na hatia.

Meena anashinda mchana kweupe, kwanza kesi ni zaidi ya moja hata kama ni yeye (ambavyo haiwezi thibitishwa) bado kuna kesi ya kuvujisha picha za uchi. Nani atasimama aseme ndio karekodi video? Hayupo. Ila waliotoa connection ndio wanaweza kukanyagana
kama ni yeye kweli... kesi ina baki kwake... atajua ajui...
 
Meena Ally kaeleza vizuri kwamba hiyo clip ina water mark ya majina yake kamili na kituo chake cha kazi, ikionesha kwamba kuna watu wameandika kumchafua kwa kumuhusisha na mwanamke aonekanaye hapo...

Hadi hapo huoni kuna jinai?
hivi jiulize katika kesi za hivi kuna aliyeshinda au kufika hatua ya mtu kukutwa na hatia? na sheria zipo nzuri tu... shida kesi pale itakapo sikilizwa ndio mtihani, watu wamejirekodi wenyewe kwa raha zao, ushahid wa picha, video sauti... mwanzo wa kujizalilisha zaidi...
 
Sababu kuna video imeeditiwa na imeandikwa jina lake. Anataka hao waliofanya hivyo wakamatwe. Yupo sahihi, clouds wamsaidie na wengine pia tumsaidie huyu binti kuokoa carrier yake kulingana na nafasi zetu. Kama kasema si yeye basi sio yeye.
Kwenye ile video clip sio yeye. Kuna mambo kwa yeye hawezi fanya kwa kuangalia hata kama angetaka kujirekodi au imerekodiwa kwa siri.

Kuna wahindi weusi wengi au wale wahindi wa wa misitu ya amazon wanafanana sana.

Ile video ilirekodiwa na mtu mwingine wa pembeni aliyekuwa anashuhudia ule mchezo. Kwa akili ya kawaida huyo binti hata awe kichaa hawezi kubali aingie mtu mwingine kwenye faragha yao halafu arekodi.

Kuna sehemu wakati shoo ya kunyonywa inaendelea ile clip ilionyesha mtu anaongeza volume. SIO YEYE

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Kusema si yeye hakumfanyi kuwa si yeye, there're always several sides of the story, her side of the story vs the other side of the story vs the truth.
Hiki kitendawili sidhani kama kitateguliwa kirahisi.
Kama Qwy atathibitisha kuwa ni yeye au mwingine yoyote akathibitisha kuwa ni yeye basi usahihi wa kutilia mashaka kuwa si yeye kama alivyosema yeye utakuwa hai. Kwa sasa aaminike muhusika anayesema si yeye.
 
jina lake ni kauthar rashidi kama sikosei... kama ana hati milki na jina analo liita ni brand sawa... na ina wezekana kuna mtu hiyo mina ally sio brand ni jina lake halisi
Sawa. Naona umeenda kisheria zaidi.
 
Kwenye ile video clip sio yeye. Kuna mambo kwa yeye hawezi fanya kwa kuangalia hata kama angetaka kujirekodi au imerekodiwa kwa siri.

Kuna wahindi weusi wengi au wale wahindi wa wa misitu ya amazon wanafanana sana.

Ile video ilirekodiwa na mtu mwingine wa pembeni aliyekuwa anashuhudia ule mchezo. Kwa akili ya kawaida huyo binti hata awe kichaa hawezi kubali aingie mtu mwingine kwenye faragha yao halafu arekodi.

Kuna sehemu wakati shoo ya kunyonywa inaendelea ile clip ilionyesha mtu anaongeza volume. SIO YEYE

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Upo sahihi kabisa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom