Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,119
- Thread starter
-
- #21
[emoji2] [emoji2] mkuu kwahyo wewe ni muhanga wa meno ya kupandanaIla mimi nakapendaga kale kadada kwa dental formula yake tu. Meno yake nayapenda sana yalivyokaa. Naingiaga Instagram kwenye page yake kuangalia meno yake tu.
She is so Cutte and innocent.
Mimi alianza ananiboa ila kwa sasa ni kati ya watangazaji ninaowapenda. Namkubari sana asipokuwepo naona kama Millard anakuwa hajachangamka.Kiukweli hyu mtangazaji anaboa sana, na anavichekesho vinavyokera sana badala ya kuchekesha, kuna matangazo yake ya tigo clouds mara sijui mimi ni katibu wa harusi ya mwanao, mara bla bla bla nyingi ambazo wala hazichekeshi.
Wenye connection nae mwambien anakera ajaribu kutafuta style kama anataka kuchekesha.
Achana naye mkuu,inawezekana wewe havikuchekeshi lakini mwingine anacheka hadi bandama inauma.Kiukweli hyu mtangazaji anaboa sana, na anavichekesho vinavyokera sana badala ya kuchekesha, kuna matangazo yake ya tigo clouds mara sijui mimi ni katibu wa harusi ya mwanao, mara bla bla bla nyingi ambazo wala hazichekeshi.
Wenye connection nae mwambien anakera ajaribu kutafuta style kama anataka kuchekesha.
Mbona mimi simjui jaman...wewe umemtoa wapi Mkuu?Kiukweli hyu mtangazaji anaboa sana, na anavichekesho vinavyokera sana badala ya kuchekesha, kuna matangazo yake ya tigo clouds mara sijui mimi ni katibu wa harusi ya mwanao, mara bla bla bla nyingi ambazo wala hazichekeshi.
Wenye connection nae mwambien anakera ajaribu kutafuta style kama anataka kuchekesha.
dah yna2 unaotuita baby tupo wangapi?, tujue tupo wangapi...Au baby wasemaje katika hilo?
Huyo dem ni waki kiseng.e na mimeno yak iliyopandiana nikickilza clouds nikickia sauti yak natoa.Kiukweli hyu mtangazaji anaboa sana, na anavichekesho vinavyokera sana badala ya kuchekesha, kuna matangazo yake ya tigo clouds mara sijui mimi ni katibu wa harusi ya mwanao, mara bla bla bla nyingi ambazo wala hazichekeshi.
Wenye connection nae mwambien anakera ajaribu kutafuta style kama anataka kuchekesha.
Nayapenda saana! Kwangu mimi hiyo ni sifa kubwa sana kwa demu kumiliki. Some fucked up teeth.[emoji2] [emoji2] mkuu kwahyo wewe ni muhanga wa meno ya kupandana
Daah kumbe umeshapata baby humu !!!?Au baby wasemaje katika hilo?
Ana tumia Jina gani mkuu?Ila mimi nakapendaga kale kadada kwa dental formula yake tu. Meno yake nayapenda sana yalivyokaa. Naingiaga Instagram kwenye page yake kuangalia meno yake tu.
She is so Cutte and innocent.
Kiukweli hyu mtangazaji anaboa sana, na anavichekesho vinavyokera sana badala ya kuchekesha, kuna matangazo yake ya tigo clouds mara sijui mimi ni katibu wa harusi ya mwanao, mara bla bla bla nyingi ambazo wala hazichekeshi.
Wenye connection nae mwambien anakera ajaribu kutafuta style kama anataka kuchekesha.
Umelazimishwa kumsikiliza? Mambo mengine ni utoto unakusumbua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu ukiwa na stress unaweza kuona mr bean anahubiri tu