The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Huu uzi wako ungeuliza kufuga kuku wa kisasa na kuku wa kienyeji kipi ni kizuri ungeleta maana.
Mchana wote huu unajadili watu kijana?
Mchana wote huu unajadili watu kijana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mkuu kuku wewe ndo unaona ni muhimu 🤣🤣🤣🤣🤣Huu uzi wako ungeuliza kufuga kuku wa kisasa na kuku wa kienyeji kipi ni kizuri ungeleta maana.
Mchana wote huu unajadili watu kijana?
GoodHakuna kati yao, nikiwasikiliza naona ni sawa, nisipowasikiliza ni sawa pia.. Yani hakuna kati yao ambaye naweza kuingia YouTube ili nione contents zake
Sasa tukijadili Meena na Huyo dem mwingine mkaa uchi,si kutiana nyege tu.Kwahiyo mkuu kuku wewe ndo unaona ni muhimu 🤣🤣🤣🤣🤣
kwahiyo mkuu hapo hamna unaemkubali ?Sasa tukijadili Meena na Huyo dem mwingine mkaa uchi,si kutiana nyege tu.
Ni ujinga kujadili watu,bora ungeleta kichekesho
Hawanisaidiii kitu shida,yaan athari za kuwakubali kwangu ni sifurikwahiyo mkuu hapo hamna unaemkubali ?
Wote wapo sawa tu japo Aliyaah kajiweka kizungu sana Ila mina anaweza kwenda sawa na content za wazungu na waswahili na ukomedi wake...
Aaliyah naweza kusema yeye ndiye Icon wa kwanza wa fresh news pale wasafi but now The switch ni kipindi kipo hapo hapo wasafi
kwahiyo Aaliyah ni full package mkuuMeena hana kipaji cha ukomedi ana kelele nyingi sana ambazo hazihitajiki na sauti lake kama dume.
Hata Millard alikuwa anamvumilia tu kwenye amplifaya alikuwa anaboa sana
Sijui bado yupo naye kwa amplifaya. Nilishaachana na kusikiliza tawi la CCM, Clouds Media
Kwa kifupi Meena hawezi kufanya anachofanya Aaliyah kwenye suala la entertainment Aaliyah ni full package
mkuu meena ni package au ??Meena Ally..
Full packagemkuu meena ni package au ??
Walimtoa niambie wakampeleka amplifaya, kipindi ambacho kinahitaji mtu aliyechangamka lakini bado ana utulivu na class flani kama Frida amani.Meena hana kipaji cha ukomedi ana kelele nyingi sana ambazo hazihitajiki na sauti lake kama dume.
Hata Millard alikuwa anamvumilia tu kwenye amplifaya alikuwa anaboa sana
Sijui bado yupo naye kwa amplifaya. Nilishaachana na kusikiliza tawi la CCM, Clouds Media
Kwa kifupi Meena hawezi kufanya anachofanya Aaliyah kwenye suala la entertainment Aaliyah ni full package
mkuu who is the best japo kwa kidogoWalimtoa niambie wakampeleka amplifaya, kipindi ambacho kinahitaji mtu aliyechangamka lakini bado ana utulivu na class flani kama Frida amani.
Wamempeleka XXL, naona kule amefit vizuri sanaaa .
Aliyaah yupo vizuri lakini ni kama bidhaa inayotumika kwa kitu kimoja ndio maana meena ana uwanda mpana zaidi kwenyw kazi yake. Kuanzia kwenye entertainment, social works na corporate spaces Ila Aliyaah yawezekana akajitahidi lakini bado hajafit
Aaliyah yawezekana akajitahidi lakini bado hajafit 🤔🤔🤔🤔Walimtoa niambie wakampeleka amplifaya, kipindi ambacho kinahitaji mtu aliyechangamka lakini bado ana utulivu na class flani kama Frida amani.
Wamempeleka XXL, naona kule amefit vizuri sanaaa .
Aliyaah yupo vizuri lakini ni kama bidhaa inayotumika kwa kitu kimoja ndio maana meena ana uwanda mpana zaidi kwenyw kazi yake. Kuanzia kwenye entertainment, social works na corporate spaces Ila Aliyaah yawezekana akajitahidi lakini bado hajafit
Wewe sema tu unamzimikiaFull package
