kaka km
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 1,336
- 686
Frank Schaeffer is an atheist who believes in God. Kuna aina mpya ya atheist siku hizi,wanaamini Mungu. Wanaamini maisha yametokana na evolution from natural selection.
Kuna mwingine anaitwa Ali Sina,unaweza kumsoma kwenye alisina.org au international faith freedom.com. Yeye anasema anamwamini mungu,anaamini evolution, anampenda yesu ila biblia sio neno la mungu bali ni kama mgodi wa dhahabu wenye mchanga mwingi ila dhahabu kidogo.
Zaidi unaweza soma hapa chini kuhusu Frank Schaeffer.
Meet an atheist who believes in God. CNN
Kuna mwingine anaitwa Ali Sina,unaweza kumsoma kwenye alisina.org au international faith freedom.com. Yeye anasema anamwamini mungu,anaamini evolution, anampenda yesu ila biblia sio neno la mungu bali ni kama mgodi wa dhahabu wenye mchanga mwingi ila dhahabu kidogo.
Zaidi unaweza soma hapa chini kuhusu Frank Schaeffer.
Meet an atheist who believes in God. CNN