The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
He, sijui kama THISDAY na Mwanahalisi wapo, maana Mwanahalisi leo hata mitaani halipo....
He, sijui kama THISDAY na Mwanahalisi wapo, maana Mwanahalisi leo hata mitaani halipo....
Jamani, nilikua huko, kimefanyika kituko, Ikulu wamegawa makundi mya watu wanne wanne, sisi tumerudishiwa getini tumepangiwa muda mwingine (sitaji muda watanijua)... kwa hiyo hiyo ndio hali halisi, kwamba leo kutwa nzima Rais atakua na kazi ya kuzungumza na waandishi wa habari
Jamani, nilikua huko, kimefanyika kituko, Ikulu wamegawa makundi mya watu wanne wanne, sisi tumerudishiwa getini tumepangiwa muda mwingine (sitaji muda watanijua)... kwa hiyo hiyo ndio hali halisi, kwamba leo kutwa nzima Rais atakua na kazi ya kuzungumza na waandishi wa habari
duh, Au wameshakugundua unatoka Jambo forums?sooo..ngoja tusikie litakalojiri,labda Hasara atatupa yatakayojiriDah,
kiranja nadhani sasa utakuwa umeniona! Mi ni mmojawapo wa waliopigwa stop. Imenisikitisha lakini si mbaya sana; that's the way it is. Kama umefanikiwa kuingia tafadhali keep other folks informed. Nimeondoka eneo husika na sikupenda kuandika nikiwa maeneo hayo.
Invisible
Vituko na maajabu ya Mussa, huyu ndiye rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaona aibu hata kuongea na waandishi wote wa habari kwa mara moja kwani hoja ikipamba moto hataki wengine wakoleze. Hiyo ndio style mpya ya kugawa bahasha, courtesy ya EL na RA na bado mwaka huu tutaona mengi.
Maji yakimwagika hayazoleki.
Halisi, nitashangaa sana kama hujui kwamba THISDAY na Mwanahalisi hawajaalikwa. Angalia source zako kaka
Hivi hiyo Press confrence inachukua muda gani? Maana sasa tunachoka kusubiria!!!
Mama yangu,
Yaani rais anaitisha press conference halafu anatoa mkwala habari zisichapishwe mpaka siku fulani? Anawafanya waandishi kama wanae, hata hao mababa wanoko siku hizi inabidi kuieleza kwa watoto zao.
By the time this "news" will be out it will be stale.Hii inaonyesha hamna cha maana kilichosemwa, huwezi kuwa na habari muhimu ukawapa waandishi halafu ukawaambia wasubiri siku kadhaa.
Utumbo mtupu!
Kitaaluma hiyo inaruhusiwa. Si kosa hata kidogo na ndio maana waandishi wanaielewa. Lakini haikua na maana kwani wangeweza kufanya mahojiano na kuandika kwa siku waitakayo. Pia taarifa inayozuiwa mara nyingi huwa si Press Conference bali taarifa, hotuba ama habari na hiyo ni kwa ajili ya kulenga malengo mahsusi mfano unapewa hotuba ya Rais ya mwaka mpya siku tatu kabla, na unasubiri hadi aisome na wewe kuilinganisha na ile uliyopewa kabla na anapomaliza tu, na wewe unairuhusu ama itoke katika gazeti ama website yako ama radio/TV ambayo haikua ikirusha live na kadhalika.