Megastructures mlizozipinga zimeibadili taswira ya Tanzania, mlikurupuka kumkosoa Rais Magufuli

Megastructures mlizozipinga zimeibadili taswira ya Tanzania, mlikurupuka kumkosoa Rais Magufuli

Mmeua mzunguko wa biashara, mmeua kilimo, hakuna ajira! Mmeshindwa kuwapandisha vyeo wafanyakazi, nk. Hao wananchi watakao nufaika ni wananchi wa aina gani? Bodaboda na mama ntilie?
Akili ndogo.
 
Tuliza akili kwanza kabla ya kuandika kwanza hiyo mambo ya stendi na Masoko sio mawazo ya JPM yeye kaukuta mpango ambao tayari unatekelezwa wenyewe wanaita ULGSP and DMDP mfano kwa mkoa wa Njombe Stendi ilianza 2013 na ulikua mradi ulioenda sambamba na soko,Msavu morogoro ni miradi iliyoanza kutekelezwa awamu ya kwanza chini ya ufadhili wa World Bank.

Ukiondoa stendi masoko huenda yakawa kama machinga Complex ya Dar es Salaam yaliyokosa watumiaji na kubaki kama magofu bila sababu ya msingi kutokana na sera ya biashara popote ambayo imeruhusu watu kufanaya biashara na kumwaga bidhaa popote nje na masoko.Hivyo kujenga inaweza isiwe hoja hoja na faida yake.

Kama hoja ingekuwa ni kujenga hata Njombe unaweza kujenga international Airport huku ukiwa huna uhakika wa matumizi na ukaacha kujenga bararbara ambalo ndilo hitaji la msingi kwa ajili kurahisisha usafirishaji wa mazao.

Hivyo anayejenga na hoja na wanaokosoa wana hoja pia.
Kama ilianza kujengwa kabla yake mbn haikukamilika kabla yake? Lkn baada ya kuingia yeye tu 5yrs were enough to make projects stand out.
 
Taswira inasaidia kitu gani wakati barabara za kuunganisha mikoa bado na watu wanateseka? Tabora to Kigoma, Katavi to Tabora, Tabora to Mbeya, just to mention few... Halafu unaleta story za taswira hapa...
 
GDP ya tanzania mpaka january imefika $70B, just $19 billion less to lead the whole east africa, kwahio kwa haraka haraka tuseme ule mradi wa mafuta wa uganda + sgr will be enough to throw us mpaka atleast $94B, this is all you need to know kuhusu swla la maisha kuboreka hilo ni swala la jitihada za mwananchi mwenyewe! tayar infrastructure umewekewa! kama unafanya kilimo kusafirisha mzigo mpaka dar kwa treni haizidi 8K, kwa basi inafika mpaka 20K, kazi imebaki kwako sasa.
Stori za kijiweni... Uchumi wa gesi uliishia wapi??
 
Stori za kijiweni... Uchumi wa gesi uliishia wapi??

ndo maaana tunawaambiaga upinzani nchi hii pasua kichwa! unapima umaskini wa watu kama ndo uchumi wa jumla wa nchi, hujui kwamba tuko kwenye ubepari?
 
Sikuwa na nia ya kubisha ila kwa maoni yangu kugawa pembejeo kufanya kila mtz alime iwe ni Ajira sioni kama ni sawa... koz wananchi the next year wanasubiri tena serikali hivyo kilimo kinakuwa kama ni cha serikali kufanya watu wawe busy ila sio kumkomboa mtz kifikra na kimaendeleo binafsi.

Napenda kusikia mawazo tofauti kilimo kiendelezwe vipi?

Siko kwenye ubishani... no sharing na kujifunza...
Weka mkakati wowote wa kilimo, kuna wakati hapo nyuma Magufuli akiwa na moto wa madaraka ya urais alikuwa na kasi isiyo na macho, uliwahi kuniuliza nataka afanye nini. Hili la kilimo ndio nililokuambia. Ila kwa sasa ana mwaka wa sita, kilimo kiko hoi kuliko alichokikuta, na sioni akifanya lolote kwenye kilimo kwa chini ya miaka mitano aliyobakiza. Kumbuka ana miradi miwili mikubwa wa SG & SGR respectively, itakayogharimu zaidi ya 15t, na hadi sasa hajafika hata nusu ya hiyo miradi kutekelezaji, je ataweza kufanya lolote, ni dhahiri hataweza kufanya lolote kwenye kilimo. Kama kweli anaweza kufanya lolote hebu weka hapa tuone.
 
Kwa hiyo zinapo ibadili hiyo taswira ya Tanzania ndiyo kusema na maisha ya wananchi yameboreka, au? Mataga mna akili za ajabu sana.

Hebu tuanze na wewe mwenye akili.. kitu gani ambacho ulitaka kifanyike then uone maisha ya wananchi yameboreka? Achana na MATAGA wote hao hawana akili, wewe tudadavulie hapa..
1.) ......
2.) .....
3.) .....

Nimekuanzishia orodha hapo, nakusubiri
 
Hebu tuanze na wewe mwenye akili.. kitu gani ambacho ulitaka kifanyike then uone maisha ya wananchi yameboreka? Achana na MATAGA wote hao hawana akili, wewe tudadavulie hapa..
1.) ......
2.) .....
3.) .....

Nimekuanzishia orodha hapo, nakusubiri
Mfano sasa ndiyo nimekuwa His Exellency Mr. President Tate Mkuu , Ningejenga vyuo vya ufundi stadi kila kata nchi nzima ili kuwapa vijana wengi elimu ya ujitegemea. Hii mambo ya shule za kata ni kuwapotezea tu muda watoto wa kitanzania. Mtoto anateswka miaka 4 shuleni, halafu anaishia tu kupata divisheni 0.

Ningehakikisha naboresha maisha ya wafanyakazi kwa kuwapa stahiki zao kwa wakati. Mfano kupanda madaraja, nk. Ili wafanye kazi kwa moyo na morali kubwa.

Kuboresha kilimo kutoka cha jembe la mkono mpaka kilimo cha kisasa cha umwagiliaji! Haiwezekani nchi imezungukwa na mito, maziwa, bahari, mabwawa! Halafu kilimo kinategemea mvua zisizo tabirika.

Na ningekuja na sera moja iliyoenda shule ya kuhamasisha sekta binafsi kujenga viwanda vya kutosha vya kuongeza thamani bidhaa zote zitokanazo na kilimo!

Kwenye sekta ya viwanda ndiyo usiseme! Ningeingia mikataba yenye maslahi kwa nchi na Mabeberu ya kujenga viwanda mbalimbali vikiwemo vya nguo, kua assemble mashine mbalimbali, nk.

Kwa wafanyabiashara ningehakikisha nawatoza kodi ndogo na rafiki ili wazalishe kwa wingi, wapate faida kubwa na pia kulipa kodi kwa hiyari na pasipo kutumia kile kikosi kazi!

Kwenye demokrasia ndiyo usiseme! Ningefungua milango ya demokrasia ya kweli na uhuru wa habari ili kukomesha vitendo vya rushwa, ufisadi na uhujumu uchumi!

Ningejenga mfumo imara wa utawala huru na unao jitegemea! Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ingekuwa ndiyo msingi wa uongozi wangu makini!!

Kuhusu miundombinu, ningejenga kutegemeana na bajeti iliyopo! Ni upuuzi kuwaumiza wananchi eti wajibane kwa kisingizio cha kujenga miundombinu huku wewe mwenyewe ukiishi peponi.

Niendelee?
 
Tanzania Ina watu 60 milioni,wewe unatumia tirions kutengeneza ajira 300,000 za boda boda,taxi drivers na migahawa Kisha tunakupigia makofi kwamba umefanya kazi nzuri
Wewe /nyinyi, mngefanyeje
 
Mfano sasa ndiyo nimekuwa His Exellency Mr. President Tate Mkuu , Ningejenga vyuo vya ufundi stadi kila kata nchi nzima ili kuwapa vijana wengi elimu ya ujitegemea. Hii mambo ya shule za kata ni kuwapotezea tu muda watoto wa kitanzania. Mtoto anateswka miaka 4 shuleni, halafu anaishia tu kupata divisheni 0.

Ningehakikisha naboresha maisha ya wafanyakazi kwa kuwapa stahiki zao kwa wakati. Mfano kupanda madaraja, nk. Ili wafanye kazi kwa moyo na morali kubwa.

Kuboresha kilimo kutoka cha jembe la mkono mpaka kilimo cha kisasa cha umwagiliaji! Haiwezekani nchi imezungukwa na mito, maziwa, bahari, mabwawa! Halafu kilimo kinategemea mvua zisizo tabirika.

Na ningekuja na sera moja iliyoenda shule ya kuhamasisha sekta binafsi kujenga viwanda vya kutosha vya kuongeza thamani bidhaa zote zitokanazo na kilimo!

Kwenye sekta ya viwanda ndiyo usiseme! Ningeingia mikataba yenye maslahi kwa nchi na Mabeberu ya kujenga viwanda mbalimbali vikiwemo vya nguo, kua assemble mashine mbalimbali, nk.

Kwa wafanyabiashara ningehakikisha nawatoza kodi ndogo na rafiki ili wazalishe kwa wingi, wapate faida kubwa na pia kulipa kodi kwa hiyari na pasipo kutumia kile kikosi kazi!

Kwenye demokrasia ndiyo usiseme! Ningefungua milango ya demokrasia ya kweli na uhuru wa habari ili kukomesha vitendo vya rushwa, ufisadi na uhujumu uchumi!

Ningejenga mfumo imara wa utawala huru na unao jitegemea! Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ingekuwa ndiyo msingi wa uongozi wangu makini!!

Kuhusu miundombinu, ningejenga kutegemeana na bajeti iliyopo! Ni upuuzi kuwaumiza wananchi eti wajibane kwa kisingizio cha kujenga miundombinu huku wewe mwenyewe ukiishi peponi.

Niendelee?

Basi sawa hata mimi ningefanya hivyo hivyo [emoji3525][emoji3525]
 
Wabongo na nyinyi tumewachoka sio kila kitu mnalaumu serikali mnakera sana. Ajira ajira. Swali mpewe nyinyi mkipata ajira mtaisaidia nini serikali? Yani nyny wabongo mnaulegeza ubongo sana sometimez. Unakuta eti mtu anataka aajiriwe afu afie kwenye ajira hapo hana anachousaidia serikali. Miondombinu ikiharibika serikali inahangaika kuleta foreigners kwa gharama kurekebisha afu mnataka ajira eti. Wasomi wengi ni useless university graduate hajui kutumia microsoft programs kama word au excel basic kabisa hajui mouse ni nn. Em iacheni serikali ipriotise vitu vinavoweza kuipa faida maan nyny mmeshindwa kuisaidia serikali kupata faida. Yani zero creativity uvivu juu mishahara mnatka mikubwa mnang'ang'ania ajirani hamuezi tengeneza njia kwa wenzenu mna faida gani nyny. Unakutana na msomi kabisa anakuja anakwambia eti nafungua mgahawa au nalima sijui boda boda. Hivi swali linakuja hapo serikali inaweza nufaika na hivo vitu? Serikali ingeona tija ya wasomi mtaani labda wamebuni mradi fulani unaeza leta faida naamini hakuna kiongozi kichaa namna hiyo asingewaona.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
watu kama nyie hua ni wa kuupuza tu unakuta umeajiriwa na unaishi kwa mshaara wa mwisho wa mwezi,lakini umekomaa kutoa ushauri kwa vijana kujiajiri.
Hivi no mazingira yapi mazuri nchi imeweka ya kuwawezesha vijana waweze kujiajiri na kujitegemea ili wasiisumbue serikali? Au ndio kila mtu apambane anavyojua.
Msomi anataka kufungua kibanda cha chips serikali ifanyaje hapo

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Sasa hizo stendi ndiyo maendelo wakati watu huko Kazuramimba wanakunywa maji yenye matope. Mtwara watoto hawana madarasa lakusomea, Dar es Salaam hawana madarasa. Vituo vya afya na zahanati havina dawa. Wananchi wa Lindi na Mtwara hawawezi kuuza korosho zao.

Yaani kujenga vituo vya mabasi na masoko ndiyo kigezo cha maenseleo. Hii ni akili ya KI- Pimbi sana
Kidogo jmaa umeongea point hayo nd mambo ambayo serikali inatakiwa ipiganie ila sio sijui kijana hajaajiriwa sijui kijana hana msingi wa kujiajiri.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Atcl kama shirika la umma lipo subjected kufanyiwa ukaguzi msidanganye watu.3
Mtu anayeshindwa kuandika "hujui" hata kubishana naye inataka uanze kwa huruma.

Mtu hajui kuandika kwa herufi sahihi, tena za Kiswahili, si Kiingereza useme lugha imekuja na meli.

Huko kwenye ukaguzi wa mahesabu wa mashirika ya umma kunakohitaji dhana za kusomea CPA mtaelewana vipi?

Herufi za Kiswahili tu hajui, mambo ya kujadili dhana za Certified Publi Accountant na falsafa Social Contract mtaanza kuelewana vipi?

Kuna watu wengine ni wa kuwajibu kiasi tu, wakiendekeza ujinga wao ni kuwadharau tu.

Watu wenye werevu wao wakisoma wataelewa kuchambua wapi mbivu wapi mbichi.

Mtu Kiswahili tu kuandika kinampa mgogoro, halafu anajitutumua kukufundisha nini "ujui"?

Bloody fool!
 
Hujui? Miundombinu ya kisasa inanufaisha wananchi kwa kupata huduma nzuri,kufanya biashara n.k.
ndezi kweli wewe.. kule kwenu msanga mamako akienda kujifungua anapita kwenye fly over ?
hata barabara ya vumbi tu hakuna afu unaleta nye nye nye nye na meko wako🐖🐖🐖
 
Back
Top Bottom