Megastructures mlizozipinga zimeibadili taswira ya Tanzania, mlikurupuka kumkosoa Rais Magufuli

Megastructures mlizozipinga zimeibadili taswira ya Tanzania, mlikurupuka kumkosoa Rais Magufuli

Ahaaa. Hoja yako ilikuwa ni kukaguliwa. Sasa umejua kuwa wanakaguliwa unaleta story za ajabu.

Wanakaguliwa kisha umeshindwa kuweka kilicho kaguliwa! Ungesema wamekaguliwa na kuweka mapato na matumizi. Au kukaguliwa ni hicho kipande cha gazeti ulichoweka hapo?
 
Wanakaguliwa kisha umeshindwa kuweka kilicho kaguliwa! Ungesema wamekaguliwa na kuweka mapato na matumizi. Au kukaguliwa ni hicho kipande cha gazeti ulichoweka hapo?
Unataka nitupie ripoti nzima? Acha ubishi wa kitoto
Screenshot_20210301-200822.png
 
Wapinzani wa Tanzania wanakasumba mbaya sana. Wao kila jambo ni kukosoa tu.

Wakiona serikali inajenga shule,hospital, barabara au stendi ya mabasi wao ni kukosoa tu.

Nimeshuhudia mabadiliko makubwa sana kwenye miji yetu tangu JPM awe rais.Naweka baadhi ya mifano. Nilishuhudia mkoa wa Singida ukipata stendi mpya ya kisasa iliyogharaimu bil 12 +.

Pia tumeshuhudia stendi mpya ya kisasa jijini Dodoma na soko kubwa la kisasa la Ayubu Ndugai. Stendi mpya ya mabasi ya Magufuli ni ya kutiliwa mfano. Maana ni zaidi ya Johanesburg park station.

Wapinzani tokea JPM aingie madarakani mlikuwa mnakosoa na kumdhihaki kuw ni mzee wa kupenda Megastructures. Je, sasa hamuoni zilivyobadili taswira ya taifa letu? Hamuoni kuwa ni kaendeleo makubwa na miundo mbinu ya kisasa ambayo itaongeza mapato kwa taifa?

My take; Tusipende kukosoa kila kitu,hata mradi wa JNHPP ukikamilika itakuwa ni Megastructure inayotusaidia.
Hiyo ni hali na hulka yako, ya "kutopenda kukosoa kila kitu" , upinzani halisi, lazima utafute cha kuchallenge. Usiwe zazwa. Mumeo akifanya mambo bila kosa. Tafuuta sababu, mchallenge. Its when we are tested when we know our true standings

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ni hali na hulka yako, ya "kutopenda kukosoa kila kitu" , upinzani halisi, lazima utafute cha kuchallenge. Usiwe zazwa. Mumeo akifanya mambo bila kosa. Tafuuta sababu, mchallenge. Its when we are tested when we know our true standings

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Unachafua uzi wa wanaume.
 
Kilimo kinaboreshwaje mkuu?
Ile ya kugawa pembejeo?

Kwa nia nzuri na si kukupinga naomba mawazo yako mkuu..
Mko vizuri sana kwenye taarifa za kwenye makaratasi! Ila ukija kwenye maisha halisi ya Watanzania, mambo ni tofauti kabisa.

Mna mkakati wowote ule wa kuboresha kilimo awamu hii? Mna mkakati wa dhati wa kuboresha mazingira ya kufanya biashara?

Mna mkakati wowote ule wa kupunguza tatizo la ajira na pia kuboresha maisha ya wafanyakazi? Kote huko majibu yamekaa kisiasa na kinadharia zaidi! Kubali tu, Raus wako kipenzi ni failure!!
 
Una uhakika zitaenda kumsaidia mwananchi wa kawaida, au zitatumika kumalizia ujenzi wa Ikulu yenu ya kifahari kwa ajili ya PK mtarajiwa?
Unatesekaga sana, modes wamefuta jibu langu kwako kule kwa thread ingine, I insist, utateseka sana.
 
Unataka nitupie ripoti nzima? Acha ubishi wa kitotoView attachment 1714958

Nimecheka kwa nguvu, unasema wamekaguliwa, halafu unaleta porojo za siasa. Weka mahesabu upande wa mapato na matumizi, sio hizo porojo za hao wapika data. Nilitarajia uliporudia ungeweka figure ya kilichokaguliwa. Narudia tena, acha kupulizia kinyesi perfume.
 
Kilimo kinaboreshwaje mkuu?
Ile ya kugawa pembejeo?

Kwa nia nzuri na si kukupinga naomba mawazo yako mkuu..

Weka mkakati wowote wa kilimo, kuna wakati hapo nyuma Magufuli akiwa na moto wa madaraka ya urais alikuwa na kasi isiyo na macho, uliwahi kuniuliza nataka afanye nini. Hili la kilimo ndio nililokuambia. Ila kwa sasa ana mwaka wa sita, kilimo kiko hoi kuliko alichokikuta, na sioni akifanya lolote kwenye kilimo kwa chini ya miaka mitano aliyobakiza. Kumbuka ana miradi miwili mikubwa wa SG & SGR respectively, itakayogharimu zaidi ya 15t, na hadi sasa hajafika hata nusu ya hiyo miradi kutekelezaji, je ataweza kufanya lolote, ni dhahiri hataweza kufanya lolote kwenye kilimo. Kama kweli anaweza kufanya lolote hebu weka hapa tuone.
 
Unaweza kueleza sababu ya hii chuki kubwa kwa mwenzako? Alikuvurugia wewe hizo 10% zako inaonekana maana si kwakuropoka kwako huku...Pole, hakuna jinsi ndiyo tumeshatoka kwenye ufisadi jizoeze kuishi kawaida
Ufisadi gani mumetoka? Na hizo Tsh 2.4 Trillion ambazo Prof Assad mulitoa majibu zilikwenda wapi? Mkaishia kimkatiza Mkataba CAG Prof Assad
 
I doubt if any would understand what you mean...Ujue wamamua kutoelewa, tuendelee tu kuitumikia nchi yetu...Wakikua wataacha! Let us give them time!

Matundu ya vyoo utajenga kwa pesa zipi kama huna miradi ya kuzalisha?

Kwahiyo unaona bora tuendelee kupewa samaki badala ya kujifunza kuvua siyo...Mwl Nyerere angewaza kama wewe leo hii sijui hata kama key board ungejua inabonyezwaje wewe na ukoo wako...Pole mafisadi mme panic...Tulieni dawa iingie
Unaishia kusema mafisadi wamepanic! Nani Ni fisadi? Na niambie kwenye ile Mahakama ya Mafisadi mumemhukumu nani so far?

Subiri regime nyingine itwaibua na kuwashtaki kwa huu UFISADI wenu wa Tsh 2.4 Trillion
 
Ni sarakasi za kisiasa za kupiga pesa ndefu huku ngumbaru wanaooibiwa wakifurahia.

Kama haya manunuzi yangekuwa na ufanisi na manufaa kwa umma tungewekewa wazi mahesabu.
Na wakala wa Boeing kwa Africa ambaye alikuwa anawabebea 10% yao Ni Roastam Aziz. Na ndiyo sababu ya ule ukaribu wao
 
Na wakala wa Boeing kwa Africa ambaye alikuwa anawabebea 10% yao Ni Roastam Aziz. Na ndiyo sababu ya ule ukaribu wao
Mimi nilishasema hizi habari za Magufuli anajinadi eti ni kinara wa kupiga vita ufisadi, labda kwa maadui zake na watu ambao hana interest zake kwao tu.

Ukiona mtu anayejinadi kuwa mpiga vita ufisadi anakaa karibu na Rostam Aziz, na anamsifia Rostam Aziz, hapo ujue watu washapiga deal hakuna cha vita dhidi ya ufisadi hapo.

Ni maigizo ya kudanganya watu tu.
 
Hakuna haja ya picha, Magufuli bus terminal ni ya kisasa zaidi.
Inaonyesha unafanya kulinganisha vitu kwa kuendeshwa na mahaba na hisia lkn huwezi kuthibitisha.

Weka PICHA tuone na hizo za SA. Ukishindwa acha porojo.
 
Megastructures ni nzuri lakini pia serikali inunue chanjo za covid 19 kwa wale wanaotaka kuchanjwa.
 
Mmeua mzunguko wa biashara, mmeua kilimo, hakuna ajira! Mmeshindwa kuwapandisha vyeo wafanyakazi, nk. Hao wananchi watakao nufaika ni wananchi wa aina gani? Bodaboda na mama ntilie?
Ndiyo, kwahiyo!
 
GDP ya tanzania mpaka january imefika $70B, just $19 billion less to lead the whole east africa, kwahio kwa haraka haraka tuseme ule mradi wa mafuta wa uganda + sgr will be enough to throw us mpaka atleast $94B, this is all you need to know kuhusu swla la maisha kuboreka hilo ni swala la jitihada za mwananchi mwenyewe! tayar infrastructure umewekewa! kama unafanya kilimo kusafirisha mzigo mpaka dar kwa treni haizidi 8K, kwa basi inafika mpaka 20K, kazi imebaki kwako sasa.
Good analysis [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Back
Top Bottom