bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Mehmet Ali Agca ni Raia mwenye Asili ya Uturuki Aliyefanya Jaribio la Kutaka Kumua Mtakatiku PAPA JOHN PAUL II tarehe 13/5/1981.
Katika Jaribio hilo Mehmet alifyatua Risasi nne kutoka kwenye Pastola yake pale Pope John Paul II alipokua akisamilia waumini katika kanisa la Mt Petro Vatican Italy na mbili kumpata Kwenye Utumbo wake na nyingine kumjeruhi mkono wa kulia na kushoto na kusababisha Papa Kupoteza damu kwa sana
Pope aliwahishwa hospitali na kutolewa Risasi kwenye utumbo wake na kupata nafuu na baadaye kupona Kabisa
Mehmet alikamatwa na kuhukumiwa kifungo cha Maisha na Mahakama ya Italia na alipokua mahabusu Papa John Paul II alimtembelea na kufanya Maongezi na Mehmet
Papa alitangaza kumsamehe Mehmet na kuandika Barua kwa Raisi wa Italy kumwombea msamaha ambapo ombi lake lilifanikiwa na Mehmet kusamehewa na kurudi kwao Uturuki
Isitoshe Papa John Paul II aliitembelea familia ya Mehmet na Kuongea na Mama na Kaka zake.
Pia Mwaka 2005 baada ya Pope John Paul wa II kuugua Mehmet alimwandikia barua Akimtakia Papa aweze kupona Haraka.
Kwa kifupi sana huyo ndo Mehmet Ali Agca.
Tafakari ni Wangapi wameweza kuwasamehe wenzao ambao wamewakosea kwa Namna Moja au Nyingine?
Muwe na Jumapili Njema Ndugu Zangu.
Katika Jaribio hilo Mehmet alifyatua Risasi nne kutoka kwenye Pastola yake pale Pope John Paul II alipokua akisamilia waumini katika kanisa la Mt Petro Vatican Italy na mbili kumpata Kwenye Utumbo wake na nyingine kumjeruhi mkono wa kulia na kushoto na kusababisha Papa Kupoteza damu kwa sana
Pope aliwahishwa hospitali na kutolewa Risasi kwenye utumbo wake na kupata nafuu na baadaye kupona Kabisa
Mehmet alikamatwa na kuhukumiwa kifungo cha Maisha na Mahakama ya Italia na alipokua mahabusu Papa John Paul II alimtembelea na kufanya Maongezi na Mehmet
Papa alitangaza kumsamehe Mehmet na kuandika Barua kwa Raisi wa Italy kumwombea msamaha ambapo ombi lake lilifanikiwa na Mehmet kusamehewa na kurudi kwao Uturuki
Isitoshe Papa John Paul II aliitembelea familia ya Mehmet na Kuongea na Mama na Kaka zake.
Pia Mwaka 2005 baada ya Pope John Paul wa II kuugua Mehmet alimwandikia barua Akimtakia Papa aweze kupona Haraka.
Kwa kifupi sana huyo ndo Mehmet Ali Agca.
Tafakari ni Wangapi wameweza kuwasamehe wenzao ambao wamewakosea kwa Namna Moja au Nyingine?
Muwe na Jumapili Njema Ndugu Zangu.