Smiling killer
JF-Expert Member
- May 1, 2018
- 1,290
- 1,123
Hebu fuatilia uwezo wa akili wa watu wa urusi hasa hesabu na physics halafu fananisha na wazungu wengine ndo utajua hao ni mazuzu au la!...₩endeleeni kuamini propaganda za magharibi kwa kuwa nyinyi ndo mazuzuNini kimeyafanya hayo mazungu ya Urusi kuwa mazuzu
Kwa nini mifumo hiyo isilinde na meli pia sasa inamlinda dikteta Putin peke yake.Unajua mfumo wa kujilinda na makombora wa urusi?.....hebu wajaribu waone
Akili hizo unatakiwa uzitafsiri ktk fani ya uchumi ili uwe Economic Super Power. Sasa wewe uchumi wako unazidiwa hata na kajimbo kamoja tu huko Marekani sasa unaongea kitu gani hapo. Nonsense,Hebu fuatilia uwezo wa akili wa watu wa urusi hasa hesabu na physics halafu fananisha na wazungu wengine ndo utajua hao ni mazuzu au la!...₩endeleeni kuamini propaganda za magharibi kwa kuwa nyinyi ndo mazuzu
hiko ndo kila nikiwaza nasema Zelewisky ni mtulivu wa akili sanaBahati ya Warusi Ukraine wanajilinda tu dhidi ya uvamizi na mashambulizi ya jeshi la Putin. Hawana mzozo na Urusi wala raia wa Urusi.
Wangekuwa na Rais mwehu asiyejali nao wangeweza kurusha baadhi ya makombora kwenye miji ya Urusi na kuzua taharuki kubwa huko. Walivyolipua meli ya Moskva ni kielelezo tu.
wenzio wanafungua vyuo , viongoz mbali mbali wanaingia na kutoka ukraine ww bado upo kizani na maneno ya kumezeshwa tuNinacho kijua mm mwisho wa siku Russia atakuwa ndio mshindi propaganda hazina maana mbele ya vitendo
hahahaaaaaHata Nchi ya Kiduku ni hivyo hivyo, wanajeshi ndiyo wanatoa huduma za kijamii mfano kusaidia wazee. Askari ni wengi na wengine wanavaa kiraia. Ukilalamikia serikali hata uwe unaongea na mkeo chumbani kesho unaitwa kituo cha polisi ujieleze.
Hii system hata kaka mkubwa Yoeri aliianzisha. Waganda wa New York summer wanafanya barbecue na kutapika nyongo yao yote juu ya utawala wao Uganda. Siku wakirudi nyumbani kibano wanacho.
hahahahaaaaaNa kabla ya hiyo mei 9 watahakikisha wanampiga putin na kitu kizito ili kumfedhehesha zaidi.
ennh ngoja nivute kigoda , askar wangap wamekamatwa na Russian forces ?Sidhani. Kwa jinsi walivyoharibiwa miji yao. It will take them years to rebuild. Mbaya zaidi mamluki wao (askali kutoka UK) wameanza kukamatwa na Russian forces
[emoji16][emoji16]
Haelewi huyo hiyo meli ilizamishwa ndio ilikuwa na mifumo yote ya kulinda meli zingine za kirusi za kivita zisishambuliwe ndio.maana ile kupigwa mikombora tu na Jeshi shupavu la Ukraine meli zote zingine za vita za Russia zikakimbia maeneo walikuwa kuelekea Ukraine wakajua kamanda mkuu kapigwa kombora kazama twafaaaaa zikageuza na kukimbiaKwa nini mifumo hiyo isilinde na meli pia sasa inamlinda dikteta Putin peke yake.
Malizia kusoma thread ndipo umfanyie korection huyuCorrection. Mkuu hakuna ujamaa Urusi. Kuna dikteta na maoligarch yenye kumiliki utajiri wa kutisha zikiwemo super luxury yachts, private jets na mijengo kadhaa huko New York, London, Paris, Luxembourg, etc. na billions of USD kwenye mabenki ya mabepari wa dunia.
Raia wa kawaida ndio wanyonge wenye kulishwa propaganda za uzalendo kama ilivyo kwa dunia ya tatu.