Siku ya kurudi akikuta Kuna mtu tayari yupo mule ndio presidaa atalalamika?Huko kijijini kwake chato anafanya nini hataki kurudi ofisini?
Ukisoma kwa umakini hizi salamu ni kama vile mtoa salamu hajiamini na ana wasiwasi.Mh. Rais awasihi wafanyakaz wazidi kuchapa kazi katika kipindi ambacho dunia inapitia kipindi kigumu Cha kupambana na Covid19
........View attachment 1436085
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Ndio Rais tumpendaye ni nahodha bora
Huyo JK mlimsema vibaya kuliko hata huyu na huyu akitoka mtamsema ajaye na kusema bora huyu...FANYA KAZI nchi yako bad changaJK umtuharibia nchi !!
Laana imeingia nchini.
Ulishindwaje kutupigania mpaka tumepata garasa?
Eti eAsente Rais Magufuli umekuwa nahodha bora kwa watumishi wa umma
Tukienda maofisini tunasikilizwa bila kutishiwa na vitambi
Huko kijijini kwake chato anafanya nini hataki kurudi ofisini?
"Endeleeni kukaza mikanda"Rikizo haijaisha atoke huko kyato aje mjini tuendelee kupambana Wote