ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Uongezewe maslahi wakati katika hali ya namna hii kuna kupunguzwa kazi, kukatwa mishahara maeneo mbalimbali duniani?
Kama miaka minne iliyopita alishindwa kuwaongezea maslahi yenu, sahau hilo kwa sasa. Dunia inapigana vita ya kiuchumi, hakuna nchi itaongeza maslahi ya watu wake, sana sana muombe mifuko ya jamii iweke recovery package kwa ajili ya wafanyakazi kipindi hiki kigumu, walau 20% ya savings zenu.
Kama miaka minne iliyopita alishindwa kuwaongezea maslahi yenu, sahau hilo kwa sasa. Dunia inapigana vita ya kiuchumi, hakuna nchi itaongeza maslahi ya watu wake, sana sana muombe mifuko ya jamii iweke recovery package kwa ajili ya wafanyakazi kipindi hiki kigumu, walau 20% ya savings zenu.