Duh hiii ni vita ya Simba, asubuhi tu kishanyonya damu shingoni.Duh, huyu mzee analala kweli??!! Asubuhi yote hii ameshamaliza mchezo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ile pacemaker hachukui roundRikizo haijaisha atoke huko kyato aje mjini tuendelee kupambana Wote
Rais Magufuli ameshatoa salamu za pongezi kwa niaba ya wananchi wote asubuhi ya leo!Hakuna hata pole ya mdomo kwa wafanyakazi ! Hata kama kuna Corona lakini ikumbukwe kwamba hii sikukuu imo ndani ya kalenda ya dunia .
Tunatambua changamoto ya mikusanyiko , lakini je hata kusambaza waraka wa matumaini nayo imeshindikana ? Nawalilia wafanyakazi wa Tanzania .
Kama nimepitwa basi nisamehewe .
asante , tunaomba nakala mkuuRais Magufuli ameshatoa salamu za pongezi kwa niaba ya wananchi wote asubuhi ya leo!
Mbona iko humu tangu asubuhi bwashee!asante , tunaomba nakala mkuu
Acha utani mkuu, imeongezwa lini?Ila mishahara imeongezwa. At least tushukuru kwa hilo.
ikiongezwa kimyakimya nani atajua? kama ni hivyo ujue unaibiwa, mishahara inatakiwa kutangwa ili kila mmoja tujue! Maana mishahara yao ni kodi zetu!Ila mishahara imeongezwa. At least tushukuru kwa hilo.
Sorry mkuu. Was just kidding.Acha utani mkuu, imeongezwa lini?
Chato state,Chato york,chato white
😂 nilikuwa natania. Jamaa wana hali ngumu, nasikia hata hela ya kulipa mishahara ni shughuli.ikiongezwa kimyakimya nani atajua? kama ni hivyo ujue unaibiwa, mishahara inatakiwa kutangwa ili kila mmoja tujue! Maana mishahara yao ni kodi zetu!
Tumesubiri saana ona Sasa kajichelewesha mpaka muda wake unaisha na Corona imekujamgaka,
Subirini corona iishe muwe wavumilivu
Wewe kama ni jobless shauri yako,wafanyakazi Wa sekta zote za umma wameongezwa mishahara kimya kimya ,ndio maana huwezi sikia migomo wa kelele zozote ,na wanapokea kwa wakati ,tofauti na enzi za Jakaya Kikwete
Wanaolalamikaga mitandaoni ni masela tu kama wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Na aje afanye kazi yeye, hii ndio hali ya Dar ambapo hata usiku saa 9 huwa pako bizeView attachment 1436213View attachment 1436214
Sent using Jamii Forums mobile app