Mei Mosi 2020: Rais Magufuli atuma salamu za siku ya wafanyakazi, asisitiza waendelee kufanya kazi na kujiepusha na Corona

Mei Mosi 2020: Rais Magufuli atuma salamu za siku ya wafanyakazi, asisitiza waendelee kufanya kazi na kujiepusha na Corona

Hakuna hata pole ya mdomo kwa wafanyakazi ! Hata kama kuna Corona lakini ikumbukwe kwamba hii sikukuu imo ndani ya kalenda ya dunia .

Tunatambua changamoto ya mikusanyiko , lakini je hata kusambaza waraka wa matumaini nayo imeshindikana ? Nawalilia wafanyakazi wa Tanzania .

Kama nimepitwa basi nisamehewe .
 
Hakuna hata pole ya mdomo kwa wafanyakazi ! Hata kama kuna Corona lakini ikumbukwe kwamba hii sikukuu imo ndani ya kalenda ya dunia .

Tunatambua changamoto ya mikusanyiko , lakini je hata kusambaza waraka wa matumaini nayo imeshindikana ? Nawalilia wafanyakazi wa Tanzania .

Kama nimepitwa basi nisamehewe .
Rais Magufuli ameshatoa salamu za pongezi kwa niaba ya wananchi wote asubuhi ya leo!
 
Ila mishahara imeongezwa. At least tushukuru kwa hilo.
ikiongezwa kimyakimya nani atajua? kama ni hivyo ujue unaibiwa, mishahara inatakiwa kutangwa ili kila mmoja tujue! Maana mishahara yao ni kodi zetu!
 
Ndivyo mlivyo mmejawa na unafiki saaana mnaumia mkiulizwa mnasema hapana tuko fit shenzy kabisaa
Wewe kama ni jobless shauri yako,wafanyakazi Wa sekta zote za umma wameongezwa mishahara kimya kimya ,ndio maana huwezi sikia migomo wa kelele zozote ,na wanapokea kwa wakati ,tofauti na enzi za Jakaya Kikwete

Wanaolalamikaga mitandaoni ni masela tu kama wewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Magufuli timepokea salamu zako sisi wafanyakazi wako.
Tumependa zaidi pale uliposema huu ugonjwa wa COVID 19 ambao unaitikisa dunia usiwe sababu ya kutokuchapa kazi vizuri.
Tutachapa kazi, ila nasisi tunasema kuwa Ugonjwa huu wa corona usiwe sababu ya kutokutupandishia mshahara kwa miaka 5 mfululizo.
Asante
2385441_IMG_20200501_072959_258.jpeg
 
Back
Top Bottom