Mei Mosi: Dkt. Mpango asema Serikali imepokea hoja ya kuboresha kikokotoo kwakuwa wafanyakazi hawaridhishwi na kanuni zake

Sa100: Hata msipoichagua CCM, Bado itaunda Serikali.
 
Wameshindwa kuboresha usafiri wa mwendo Kasi kati ya kivuko hadi kimara na mbezi kwa miaka 4 aliyokaa,, hawezi vitu vingine vikibwa
Si afadhali ya Mama at least ameongeza mishahara na kuirudisha annual Increment kuliko lile shetani lenu la Chato lilikusanya kodi zetu likagoma kutupandisha mishahara na madaraja kwa miaka 6!
 
poleni sana watumishi kwa manyanyaso mnayopitia ila niwakumbishe hatma ya maiaha yenu na pesa zenu zipo mikononi mwenu inategemea umenielewaje
 
Anasubiria mwakani kwenye May Mosi kutoa rushwa ya uchaguzi na kufanya propaganda ya kura
 
Alishasema kupitia mpango au umekataa kukubali? Baada ya kazi Fanya shughuli zako kujiongezea kipato utakufa wewe
 
Kitu kikubwa na cha msingi amezungumzia Yale mahesabu ya Pensheni yanayofanywa na wabobezi wa hesabu actuarial, lakini cha kushangaza wakurugenzi wa mifuko karibu yote ilikuwa inaongozwa na wakurugenzi ambao sio wabobezi wa hesabu za pesheni na mambo ya bima, matokeo yake vitega uchumi wa mashirika hayo haya kufuata hizo hesabu matokeo yake wafanyakazi ndio wanateseka na viongozi wa mashirika hayo kushangilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…