Kwendraaa mbona uwazii vijana ambao hawajaajiliwa? Bora hata wewe unapata hako ka laki 5.ulivyo na roho mbaya unataka uongezewe vip wadogo zako walioko mitaani?Hata Kama ndo ivyo ,yafanyakazi waachie wenyewe,acha roho mbaya KWA watumishi wakati huduma nyingi za kijamii wazipata pitia kwao,
Sina shida na wewe uongezewe mshahara ila vip wadogo zako walioko mitaani?Basi acha aongeze hivyo hivyo,mbona wewe biashara yako inakupa buku kama faida lakini huiachi?we unadhani hiyo nyongeza ndogo haiwezi kuja kukuungisha biashara zako!lengo kubwa hapa ni kuongeze mzunguko wa fedha mtaani ndugu,wote tunategemeana katika maisha kama kwako hazina maana juwa kuna watu zitawasaidia
Mama aache ramli chonganishi .. Anamaana mwakani corona itakuwa imeisha?
Ni wapi nimesema kusiwepo mrithi?Nayo ni hoja, kumbe baada ya maajabu ya kufa 'JIWE' ulitaka pasiwepo mrithi? WAZA mbele mdogo wangu....
Muwe na shukrani zaidi ya hapo na ahadi katoa mnataka awafanyie nini?Acha siasa ziendelee tu kwa watumishi ,ndio maana mtumishi akiotea gap lazima apige mpunga bila uoga wowote ule
Nyalandu na wewe ndiyo size zenu waramba miguu wa jiwe na chakubanganakuonea huruma mno. Pole ungana na nyalandu basi
Uchumi wa kati ilikuwa propaganda za jiwe tu mkuu. Kwani wewe haukuwa Tanzania ukajionea hali halisi ya maisha ilivyokinzana na yaliyosemwa kuwa tupo kwenye uchumi wa kati.Mama aache ramli chonganishi .. Anamaana mwakani corona itakuwa imeisha?
Sasa uchumi wa kati tuloingia ni UPI! Tunachanganyana sasa aagh!
Degree za kubumba zipo ndani ya ccm.Na hapo unaweza kukuta una degree lakini kusoma hujui
Huyu ndiye rais aliyetakiwa kuwepo madarakani kwa miaka 6 iliyopita.Amefuta 6% retention fee kwenye mkopo wa bodi
Imekula kwenu hiyo maana mmesaidia sana kwenye utawala wa jiweTuliolipa itarudi?
Abarikiwe sana mama yetu.No more value retention fee ya HESLB.
Chunguni kweupe maana jiwe alipakaushaNaona makofi hayapigwi tena..sema nn mama kawa mkweli..ngoma ngumu!
Nyalandu na wewe ndiyo size zenu waramba miguu wa jiwe na chakubangaView attachment 1770031
Sio Tena Tundu Lissu?????Huyu ndiye rais aliyetakiwa kuwepo madarakani kwa miaka 6 iliyopita.
Kieandacho kwa Mganga ,-----????Tuliokatwa 6% kimabavu turudishiwe pesa yetu.
Akaunti yetu ya Chama Cha Mbowe hivi Ina kiasi gani kwa sasa????Chunguni kweupe maana jiwe alipakausha
Unajuwaje kama utafika huko wakati sasa hivi korona inakufuata wewe?kama wewe naona unajipendekeza kwa mama samia. 2025 CCM inawatandika vizuri tu
Tuna ulizia account ya taifa , fuko la taifa jiwe kakaushaAkaunti yetu ya Chama Cha Mbowe hivi Ina kiasi gani kwa sasa????
Unataka wairudishe ... Amechukua anaekulipa na ndo anayeendelea kulipa .. Shukuru kwa kuleta ahueniTuliolipa itarudi?