Mei Mosi Mwanza: Rais Samia ahutubia, aahidi kuongeza mishahara kuanzia mwakani, agusia mafao ya wastaafu

Mei Mosi Mwanza: Rais Samia ahutubia, aahidi kuongeza mishahara kuanzia mwakani, agusia mafao ya wastaafu

Hata Kama ndo ivyo ,yafanyakazi waachie wenyewe,acha roho mbaya KWA watumishi wakati huduma nyingi za kijamii wazipata pitia kwao,
Kwendraaa mbona uwazii vijana ambao hawajaajiliwa? Bora hata wewe unapata hako ka laki 5.ulivyo na roho mbaya unataka uongezewe vip wadogo zako walioko mitaani?
 
Basi acha aongeze hivyo hivyo,mbona wewe biashara yako inakupa buku kama faida lakini huiachi?we unadhani hiyo nyongeza ndogo haiwezi kuja kukuungisha biashara zako!lengo kubwa hapa ni kuongeze mzunguko wa fedha mtaani ndugu,wote tunategemeana katika maisha kama kwako hazina maana juwa kuna watu zitawasaidia
Sina shida na wewe uongezewe mshahara ila vip wadogo zako walioko mitaani?
 
Acha siasa ziendelee tu kwa watumishi ,ndio maana mtumishi akiotea gap lazima apige mpunga bila uoga wowote ule
Muwe na shukrani zaidi ya hapo na ahadi katoa mnataka awafanyie nini?
 
nakuonea huruma mno. Pole ungana na nyalandu basi
Nyalandu na wewe ndiyo size zenu waramba miguu wa jiwe na chakubanga
JamiiForums1992601550.jpg
 
Mama aache ramli chonganishi .. Anamaana mwakani corona itakuwa imeisha?

Sasa uchumi wa kati tuloingia ni UPI! Tunachanganyana sasa aagh!
Uchumi wa kati ilikuwa propaganda za jiwe tu mkuu. Kwani wewe haukuwa Tanzania ukajionea hali halisi ya maisha ilivyokinzana na yaliyosemwa kuwa tupo kwenye uchumi wa kati.
 
Back
Top Bottom