Saa hii zinatumika ndegevita 250 huko Ujerumani katika zoezi kubwa la NATO. Hujasikia??NATO wana mandege? Wameyatoa wap,aise? Yaliwahi kutumika wapi kwa mfano 🤔
na mbona Waafrica wanamlaumu Obama kwa Mauaji ya Gadafi badala ya NATO.Libya au umezaliwa lini, NATO sio mchezo ukisikia no fly zone urusi inachakazwa ndani ya week mo
As an alliance of 31 sovereign countries, NATO relies on military forces of its member countries to carry out operations or mission as it does not possess military forces of its own. Thus why after Gadafi was killed all blames was upon Baraka Obama and USA and not NATO. NATO is among very weak and useless alliances that can never attempt to do anything up on Russia. Doing anything means WW3 becoz long missiles now from North Korea to US, from US to Russia etc will be observed, thus why mtoa hoja amedai zaidi ya nchi 30 zinapambana na RussiaSaa hii zinatumika ndegevita 250 huko Ujerumani katika zoezi kubwa la NATO. Hujasikia??
NATO’s largest air force drill prepares for ‘crisis situation’
Some 250 aircraft from 25 NATO and partner countries with 10,000 military personnel participating in ‘Air Defender 23’.www.aljazeera.com
Amevamiwa au alitaka onea mtoto mdg ?Kwa sasa Urusi ndiyo Taifa kubwa duniani. Yaani nchi moja inapambana na nchi zaidi ya 30, na bado ipo ngangari. Hatari sana.
Utumbmwana sana huyu jamaa, kuna mahala tumepiga kazi fulani... RIP Voze.
Ww utakuwa mwehuNATO wana mandege? Wameyatoa wap,aise? Yaliwahi kutumika wapi kwa mfano [emoji848]
Ww ni mwehu pro , ushabik wako umevuka mipakawapi huko [emoji849][emoji851]
Kabisa Urusi lzm ajifunze kuheshimu majiranPiga mbwa hao!! zama za kuoneana kipumbavu zilishaisha, na hii vita ikiisha sidhani kama Urusi watarudia huu ujinga wa kuvamia majirani zake.
Ndilo taifa lenye eneo kubwa duniani..Kwa sasa Urusi ndiyo Taifa kubwa duniani. Yaani nchi moja inapambana na nchi zaidi ya 30, na bado ipo ngangari. Hatari sana.
Kbs huyo mwehu , hajui anajidharirisha kujifanya hajui loloteAngalia na kusikiliza taarifa za habari kutoka vyombo vya kimataifa na siyo kuishia kuangalia Clouds!
Kwamba ww unavyoiona west ni zaid ya Putin , kama wangekuwa laini hivyo Putin angejirusha nao tu sip kujitetea usiku kucha siku ile mabaki ya mabomu yalipotua Poland[emoji23]sawa mkuu. nashauri piai soma kidogo juu ya hii miungano vibogoyo inayotishia kung'ata lakini haina meno itakusaidia sana, vinginevyo utajazwa propaganda za magharibi na kulishwa matango pori bila huruma hadi utashangaa. [emoji851] Ila nashukuru ntazingatia ushauri wako
Acha kamba mkuu , operation ya siku 3 ndo imefikia hadi kufake vifo ?Tuwe na akiba ya maneno, hawa baadae hua tunaona wanaapishwa kutumikia vitengo vingine, sijui huwa wanafufuka!
Kwan Ukraine aliivamia Urusi au Urusi aliivamia Ukraine , unajuwa unaeza kuwa mwehu usijijue ,Urusi kaivamia Ukraine wala hajaivamia NATO , kama yeye kidume aguse aone kinachotokea asubui na mapema tuSasa waulize kinachowazuia ni kitu gani kwenda kummaliza huyo mRusi moja kwa moja, na badala yake wanamtumia chambo wao Ukraine kufanya kazi ambayo wao wangeimaliza harakaharaka na kuondoa tatizo.
Akil umeziacha wap ? Kama ni weak kwann Urusi anazuia Ukraine asijiunge na NATO? , jmn kuna vitu mnaandika wajukuu zetu watakuja kujuta kutumia majina yenu ya ukoo maana yatakuwa na aibu ya uzezeta wa babu zao ( nyinyi ).na mbona Waafrica wanamlaumu Obama kwa Mauaji ya Gadafi badala ya NATO.
As an alliance of 31 sovereign countries, NATO relies on military forces of its member countries to carry out operations or mission as it does not possess military forces of its own. Thus why after Gadafi was killed all blames was upon Baraka Obama and USA and not NATO. NATO is among very weak and useless alliances that can never attempt to do anything up on Russia. Doing anything means WW3 becoz long missiles now from North Korea to US, from US to Russia etc will be observed, thus why mtoa hoja amedai zaidi ya nchi 30 zinapambana na Russia
Angalia mazoezi yao leo tatizo hii mihemko na ushabiki ina wafanya muwe wabishi na wanafikiNATO wana mandege? Wameyatoa wap,aise? Yaliwahi kutumika wapi kwa mfano [emoji848]
Ujerumani na Polandwapi huko [emoji849][emoji851]
Kama NATO sio weak na useless mbona wanachama wake wanajificha nyuma ya Ukraine, mbona iyo strong NATO haijitokezi dhahiri shahiri kutwa nzima vikao na propeganda za vitisho, wanajua kabisa miongoni mwa nchi 31 za NATO miongoni mwao hawataunga mkono wala kuchangia chochote kuivamia Russia kwasabb wana maslahi na hawana ugomvi na Urusi huo ustrong wa NATO utatoka wap?Akil umeziacha wap ? Kama ni weak kwann Urusi anazuia Ukraine asijiunge na NATO? , jmn kuna vitu mnaandika wajukuu zetu watakuja kujuta kutumia majina yenu ya ukoo maana yatakuwa na aibu ya uzezeta wa babu zao ( nyinyi ).
Ukraine wanafanya ukatili mkubwa dhidi ya wanajeshi wa Urusi.Meja General wa Kirusi kauawa huko Zaporizhzhia baada ya sehemu alipokuwa kupigwa Mzinga.
===========
Russian media reported on Monday that a Ukrainian missile strike on the southern Zaporizhzhia front killed an experienced Russian general.
“As a result of an enemy missile attack, the Chief of Staff of the 35th Combined Arms Army, Maj Gen Sergei Goryachev, was killed,” the prominent pro-war blogger Voenkor said in a Telegram post.
Goryachev, a decorated commander, previously led Russian troops in Moldova’s breakaway region of Transnistria.
Voenkor added that “according to representatives of the command of the United Group of Forces (S), the army has lost today one of the brightest and most effective military leaders”.
Several Russian war bloggers said Goryachev was likely killed by a UK-supplied Storm Shadow cruise missile.
The Russian defence ministry is yet to comment on the reported death of Goryachev.
More than a dozen Russian generals are believed to have been killed since Moscow invaded Ukraine.
The Zaporizhzhia region, of which about 80% is controlled by Russian forces, is believed to be one of the main focuses of Ukraine’s counteroffensive.
Huko nyuma yakowapi huko [emoji849][emoji851]