Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Lazima kuwepo na International order inayoongoza utendaji, kusomeka na kueleweka kwa mataifa. Vinginevyo kila mwehu akiamka na kusema hayo maneno yako dunia haitatawalika, itakuwa uwanja wa vurugu tupu.
Ni mRusi pekee ndiye anayejua usalama wake ulipo na tishio la kushughulikiwa kwa haraka ni lipi. Tusitafute ujuzi wa kumwamlia lipi afanye na lipi asifanye.