MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 350
- 576
Meja Evariste Ndayizeye kutoka jeshi la Burundi, anaesadikika kuwa miongoni mwa wapiganaji mahili, ameuliwa na M23 huko Kivu kusini.
Ni katika mapambano ya M23 kuhakikisha inaudunga uwanja wa ndege wa Kavumu. Inasemekana kwamba mpaka sasa, wapiganaji wapo umbali wa Kilometa saba na wameshauzingira uwanja huo.
Huku jeshi la Burundi, likiwa na wanajeshi wapatao elfu nne kuulinda uwanja huo.
Ni katika mapambano ya M23 kuhakikisha inaudunga uwanja wa ndege wa Kavumu. Inasemekana kwamba mpaka sasa, wapiganaji wapo umbali wa Kilometa saba na wameshauzingira uwanja huo.
Huku jeshi la Burundi, likiwa na wanajeshi wapatao elfu nne kuulinda uwanja huo.