Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Sawa sawa, mwanajeshi kufa vitani sio jambo geni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa, mwanajeshi kufa vitani sio jambo geni
HahahahaM23 Wakiteka bukavu basi ujue Burundi hali itakuwa tete kabisa vita vina mipango ya mbali sana hasa hv vya kikabila ni hatari sana
Hivi adui wanatanbuanaje?Meja Evariste Ndayizeye kutoka jeshi la Burundi, anaesadikika kuwa miongoni mwa wapiganaji mahili, ameuliwa na M23 huko Kivu kusini.
Ni katika mapambano ya M23 kuhakikisha inaudunga uwanja wa ndege wa Kavumu. Inasemekana kwamba mpaka sasa, wapiganaji wapo umbali wa Kilometa saba na wameshauzingira uwanja huo.
Huku jeshi la Burundi, likiwa na wanajeshi wapatao elfu nne kuulinda uwanja huo.
Yeah!.... Bahati nzuri Burundi inafahamika ina askari Kivu Kusini.Sawa sawa, mwanajeshi kufa vitani sio jambo geni
Burundi inapigania usalama wakeM23 Wakiteka bukavu basi ujue Burundi hali itakuwa tete kabisa vita vina mipango ya mbali sana hasa hv vya kikabila ni hatari sana
Kila nchi inapigania Usalama wake...PK na jeshi lake liko ki propaganda hivyo usitegemee kusikia kifo Cha askari upande huo...ili nyie mnawapenda muwaone wao wako vzr ktk mapigano, Na uzuri mnapenda habari zao nzuri mbaya hamtozipataYeah!.... Bahati nzuri Burundi inafahamika ina askari Kivu Kusini.
Huko kwa PK hata vifo havijulikani...
Burundi inapigania usalama wake
Ina maaana toka vita vianze hkn M23 aliyekufa ? Ila mnaona hao wengine tu ndio wanaokufa ,Ni Kwa sababu hao wamekua wawazi ,Yeah!.... Bahati nzuri Burundi inafahamika ina askari Kivu Kusini.
Huko kwa PK hata vifo havijulikani...
Burundi inapigania usalama wake
PK anashutumiwa na majirani zake (Drc na Burundi) kuwa ana ajenda ya kujitanua..Kila nchi inapigania Usalama wake...PK na jeshi lake liko ki propaganda hivyo usitegemee kusikia kifo Cha askari upande huo...ili nyie mnawapenda muwaone wao wako vzr ktk mapigano, Na uzuri mnapenda habari zao nzuri mbaya hamtozipata
Utawala wa Kigali umekanusha kuwa na askari huko Drc....hivyo haiwezi kutangaza vifo vyao...Ina maaana toka vita vianze hkn M23 aliyekufa ? Ila mnaona hao wengine tu ndio wanaokufa ,Ni Kwa sababu hao wamekua wawazi ,
Hahahaha si mnampenda,subiri aje Kagera atanuie Ile mbuga yake ya akagera ndio mtajua Nia yake ,muda unakuja,kama ameweza kuja Kwa wakubwa na kuwaambia hkn wakumnyamazisha unategemea nnPK anashutumiwa na majirani zake (Drc na Burundi) kuwa ana ajenda ya kujitanua..
Huyu jamaa kawa mwiba ukanda huu.
Makubaliano ya Arusha yanalitaka Jeshi la Burundi kuwa nusu kwa nusu Watutsi kwa Wahutu lakini kuna habari kwamba Askari wa Kitutsi wakistaafu nafasi yao wanaingizwa Askari wa Kihutu ni kinyume na makubaliano ya Arusha.M23 Wakiteka bukavu basi ujue Burundi hali itakuwa tete kabisa vita vina mipango ya mbali sana hasa hv vya kikabila ni hatari sana
Huenda DRC inailipa Burundi kama ilivyokuwa Kwa wale jamaa kutoka Ulaya.Warundi wanafia nini Kongo wakati asilimia kubwa ya Wananchi wao huwa wanalala na njaa.
Hizo fedha wanazotumia huko Kongo kununua risasi na Mabomu angalao wangekuwa wanawapa koo masikini za Burundi.
Kongo hawawezi kuilipa Burundi hata senti moja.Huenda DRC inailipa Burundi kama ilivyokuwa Kwa wale jamaa kutoka Ulaya.
Kama aliweza kuwalipa Wazungu waliorudishwa kwao baada ya Goma kuanguka atashindwaje kuwalipa Burundi?Kongo hawawezi kuilipa Burundi hata senti moja.
Mtawala wa Rwanda ni Mtutsi (Kagame) mtawala wa Burundi ni Mhutu, M23 ni Watutsi, sera ya Watutsi kuhusu ardhi ukanda hu inajulikana (refer waraka wa askofu Mtikila ) so Burundi anajaribu pia kupambana na mpango ovu wa bwn PK and his teamWarundi wanafia nini Kongo wakati asilimia kubwa ya Wananchi wao huwa wanalala na njaa.
Hizo fedha wanazotumia huko Kongo kununua risasi na Mabomu angalao wangekuwa wanawapa koo masikini za Burundi.
Siri ya mtungi aijua kataWarundi wanafia nini Kongo wakati asilimia kubwa ya Wananchi wao huwa wanalala na njaa.
Hizo fedha wanazotumia huko Kongo kununua risasi na Mabomu angalao wangekuwa wanawapa koo masikini za Burundi.
Watutsi walikuwa ni Watawala wa RwandaUrundi kabla hata Babu yake Mtikila hajazaliwa.Mtawala wa Rwanda ni Mtutsi (Kagame) mtawala wa Burundi ni Mhutu, M23 ni Watutsi, sera ya Watutsi kuhusu ardhi ukanda hu inajulikana (refer waraka wa askofu Mtikila ) so Burundi anajaribu pia kupambana na mpango ovu wa bwn PK and his team
Ukisoma Comment kama hii toka kwa Mtutsi aliyejificha Tanzania....!Burundi pia ilikuwa ni himaya ya Wafalme wa Kitutsi, wamrudishe Mwami tu. Nchi itulie.
Meaning?Watutsi walikuwa ni Watawala wa RwandaUrundi kabla hata Babu yake Mtikila hajazaliwa.
Nani kakwambia mimi nimejificha Tanzania unafikiria mimi ni Mkimbizi wa Kihutu?!Ukisoma Comment kama hii toka kwa Mtutsi aliyejificha Tanzania....!
Ndo utàelewa Watutsi ni Watu wa aina Gani...!