Kwahiyo kila Mtutsi ni wa Rwanda?!Lazima tukurudishe kwa Mtutsi mwenzako PK very soon.
...,wanachofia wanyarwanda....Warundi wanafia nini Kongo wakati asilimia kubwa ya Wananchi wao huwa wanalala na njaa.
Hizo fedha wanazotumia huko Kongo kununua risasi na Mabomu angalao wangekuwa wanawapa koo masikini za Burundi.
Warundi wanafia nini Kongo wakati asilimia kubwa ya Wananchi wao huwa wanalala na njaa.
Hizo fedha wanazotumia huko Kongo kununua risasi na Mabomu angalao wangekuwa wanawapa koo masikini za Burundi.
umeandika nini sasa,unarukarukaHivi, unajua hata mwanajeshi kwa roho ya kawaida anaangalia na vigezo vya kupigana? Wenzao walishahukumiwa kufungwa maisha. Mwanajeshi mtutsi, usifikilie ni rahisi kupigana na M23. Wengine walishajiweka mikononi mwa Red-Tabara. Inayosubili tu njia ya kuungana na M23. Hivi ni vita vya watu wanaojuana wenyewe, haviko serious kivile. Unaweza ukakuta hao 4k nusu yake hawana mpango. Wanashitakiana usaliti. Unaanzaje sasa!!!
Kwa hiyo, mi ndo nibebe lawama za uelewa wako mdogo! Si ndio?!!!!! Narukaruka kama nyani wala si kama mbwa mwitu.umeandika nini sasa,unarukaruka
Kama mbwa
Mwitu
Uwe unanisoma humu, mimi huwa napigania utawala bora.Wewe mbona nchini mwako mama ananunua magoli kwa mamilioni wakati shule hazina madawati wala vifaa vya maabara, mahosipitalini hakuna dawa unaambiwa kanunue famasi!!
Wewe tunakujua tunasubiri tu filimbi ipigwe tuanze na wewe na PK wako.Kwahiyo kila Mtutsi ni wa Rwanda?!
Karibuni sanaWewe tunakujua tunasubiri tu filimbi ipigwe tuanze na wewe na PK wako.