Hujasikia Kwamba kuna kashfa ya vitabu feki vya kufundishia watoto shuleni......Miaka 50 ya uhuru lakini bado akili zetu hazijabadilika kabisa,hili swali alitakiwa aulize mtoto wa chekechea tu,Kweli mama ndalichako kazi anayo katika wizara yake
Acha Ubahili GB 100 tu zinatoshaBando mzozo
hahahh natoka hapa [emoji114]Umesema wewe ni mwalimu?
Ok
You made my day nigaNapenda kukutaarifu ya kwamba meli inajengwa pembeni ya tundu lako la pua ila upande wa kushoto.mwalimu hewa a.k.a mwalimu hema.
Miaka 50 ya uhuru lakini bado akili zetu hazijabadilika kabisa,hili swali alitakiwa aulize mtoto wa chekechea tu,Kweli mama ndalichako kazi anayo katika wizara yake
Napenda kukutaarifu ya kwamba meli inajengwa pembeni ya tundu lako la pua ila upande wa kushoto.mwalimu hewa a.k.a mwalimu hema.
Watanzania wengi huwa ni wajinga sana wao hudhan wanacho kijua wao basi kila mtu anakijua na kufikiri kuuliza pia ni ujinga na ndio maana weajinga wanaongezeka ,Umesema wewe ni mwalimu?
Ok
Ukijua kisha ukajielewa we ndo mjuaji kuliko wote tabu sana.haya baba kujua ndo umeisha jua sana.taratibu angalia ulipo kalia hilo tawi unalokata ndilo ulilokalia.kwa sababu we ni mjuvi,utaanguka wewe,tawi na shoka lako.Watanzania wengi huwa ni wajinga sana wao hudhan wanacho kijua wao basi kila mtu anakijua na kufikiri kuuliza pia ni ujinga na ndio maana weajinga wanaongezeka ,
kila mtu hujua vitu vinavyo mzunguka kwa undani zaid kuliko vingine ambavyo vipo mbal nae ambavyo anaweza kuvijua ila si kiundan zaid, na ndio maana kuna wengine wanajua viazi mviringo vinachumwa kama maembe kwa vile ni kitu ambacho hajawai kukiona katiks mazingira zaid ya kuona kiazi tayar,
jaman acheni ujinga na kujifanya nyie ni wajuzi wa kila kitu elimu haina mwisho na kila mtu kuna asicho kijua hata kama ni kidogo hivyo kuelimishana ni jambo jema badala ya kukejeli na ninadhan vijitu ambavyo havina shule yaan havijaelimika ndio vya kwanza kukejeli na hiyo ndio kitu ambacho kwao ni defending mechanism ya ujinga wao.
Na waweza kuta pamoja na kujifanya kumkejeli muulizaji hata vyenyewe havikijui kilicho ulizwa ila basi kutaka kujionesha kwa watu kuwa vinajua wakati huo vikisubiri majibu navyo viondoe ujinga wao vichwani mwao
Hujamuelewa mleta mada.Anamaanisha kwa mfano kiwanda cha meli kipo South Korea na meli inanunuliwa ili kutumika kanda ya ziwa.Inabebwaje hapo?Mimi nafikiri jibu lake ni kwamba vinaagizwa vifaa toka huko viwandani then vinasfirishwa na kuundiwa kando kando ya ziwa au bahari itakapotumika.viwanda vya kutengeneza meli huwa vinajengwa fukweni au kwenye bandari maalumu(floating habour) au bandari inayoelea.hii hurahisisha movement ya meli kwenda kuanza kazi pale inapokamilika
Yan namm nliwai kujiulza lkn majb cjayapata, unakuta meli n kuubwa sijui wanatengenezaje...Najiuliza kila siku kiwanda cha meli kikoje? Kiko karibu na bahari au vipi? Na kama sio? Meli huwa inapelekwaje baharini kuanza majukumu ndugu zangu, maana nimejiuliza muda mrefu nakosa majibu.
Naomba msaada wenu wadau.
[emoji23] [emoji23]Inatengenezwa hewani kisha inarushwa baharini tayari kwa kuanza kazi
Yan namm nliwai kujiulza lkn majb cjayapata, unakuta meli n kuubwa sijui wanatengenezaje...
Bhangi za hadharani hazna msaadaWa mazuzumagic
Mkuu umemaanisha GB 100 duuuh kwani anaenda kuangalia series ya ISIDINGO[emoji3] [emoji3]Acha Ubahili GB 100 tu zinatosha
Haha ama jokingMkuu umemaanisha GB 100 duuuh kwani anaenda kuangalia series ya ISIDINGO[emoji3] [emoji3]