Meli kubwa ya kifahari duniani AZAMARA CRUISE yatua Dar na watalii 600 kutoka Marekani, Japan, China, Taiwan na Uingereza

Meli kubwa ya kifahari duniani AZAMARA CRUISE yatua Dar na watalii 600 kutoka Marekani, Japan, China, Taiwan na Uingereza

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Meli kubwa ya kifahari duniani AZAMARA CRUISE yatua Dar na watalii 600 kutoka Marekani, Japan, China, Taiwan na Uingereza.

Meli hiyo imetia nanga kwenye gati jipya la kisasa lililoboreshwa ambalo ni sehemu ya maboresho yanayoendelea Bandarini.



EN1wDToUYAE1ZFj.jpg
EN1wDTKXUAEsQjN.jpg
 
Karibuni watalii kwenye Bandari ya salama.Watatuelewa tu siku moja mabeberu...
 
Kwa picha hii tutajuaje kama hapo ni Dar es Salaam Mkuu, embu jiongeze
 
hako kapicha kamoja ka google unadhani ndio utaniaminisha
 
Magu anunue Meli ya kitalii inaonekana siku zijazo watalii hawatapendelea ndege.
 
Tunaishukuru awamu ya tano kwa kuileta hii meli
Meli kubwa ya kifahari duniani AZAMARA CRUISE yatua Dar na watalii 600 kutoka Marekani, Japan, China, Taiwan na Uingereza.

Meli hiyo imetia nanga kwenye gati jipya la kisasa lililoboreshwa ambalo ni sehemu ya maboresho yanayoendelea Bandarini.




Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom