KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Umenifurahisha sana......anaitwa nani....??Ngoja msemaji wa jeshi la Iran aje hapa ayatollah kimsboy[emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenifurahisha sana......anaitwa nani....??Ngoja msemaji wa jeshi la Iran aje hapa ayatollah kimsboy[emoji1787][emoji1787]
Hapo sawa [emoji1756][emoji1756][emoji1756]Training tu! Natural disaster!
Sikia mkuu hii meli ilikuwa yamafuta, ikafanyiwa modifications ikawa ya kijeshi ikaanza safari yake kuelekea Venezuela juzi wakati USA anasimania mazungumzo ya Mkataba wa Nuclear wa Iran CIA wakaifatilia baada ya kuitilia shaka wakajua inakoelekea wakaonywa waachane na huo mpango.Yamafuta au ya kivita, tulia utuhabarishe vizuri.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] say all you want ila hapa hahusiki ni ajali tu kwani wamesema.imeshambuliwa?[emoji2371][emoji2371][emoji2371][emoji2371]Hawa watu wakorofi sana, walimchapa Mungu Yesu mijedi, wahuni sana hawa.
Sio kweli ingekuwa hivyo Ayatollah angekinukisha kwa "makombora imara saana" maana nasikia Iran ni ya 3 na Israel ni ya 7 kwa mataifa yenye nguvu middle eastSubiri mpaka watajwe, ukiitaja tu marekani umewataja wao sasa sijui utawakwepea wapi
[emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958] wanatafuta vyanzo vyao kwanza wataanza na "FAKE NEWS"Wafuga midevu na wavaa madira mpo?....njooni huku mtemi wenu kashavuliwa chupi mchana kweupe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa mchonganishi sana wakija.aisee usiniunganishe.kwenye ugomvi wao Morogoro kaskazini STRUGGLE MAN kuna jamaa anawachokoza hukuIla israel waonevu sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Palestina wamechezea nakoz za kutosha Iran nae kachezea za kolomero aiseee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanahaha sana saivi wakitafuta backup ya habari[emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958] wanatafuta vyanzo vyao kwanza wataanza na "FAKE NEWS"
Baadae hakuna majeruhi wale makomandoo waliruka woote[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nishailaani sana mimi binafsi na sijaona nimelaaniwa. Maneno tu hayo,acheni uoga wa maisha bana uache kupiga kazi ukiwaza laaana!!! Hata ukiumwa kichwa utasingizia ni ile laana.Ukiilaani Israel umelaaniwa ukiibariki Israel utabarikiwa hivyo Iran ni bora wangeacha vita na Israel wataendelea kukumbwa na majanga hivi hivi
🤣 🤣 🤣 🤣Ngoja msemaji wa jeshi la Iran aje hapa ayatollah kimsboy[emoji1787][emoji1787]
Sio ajali matukio yanapangwa na kupangika Mkuu!!!!Ni ajali tu kama zingine