Meli kubwa ya mafuta ya Iran yashika moto

Kuharibu bila kuleta taharuki ili asiwepo wa kunyoshewa kidole.

Unaweza kuelezea neno "shambulizi"?.

Wa Iran tatizo ni watu wa mlengo wa Socialist ideology kama Tanzania,
Yaani sisi tunawazidi hadi Wachina na Warusi kwenye propaganda ila hatujawazidi Korea Kaskazini!

Ivi hujasikia kuwa hapa Tanzania kwa miaka ya nyuma kabla ya ujio wa Technologia za kujitafutia ukweli ilipropagandika kuwa Tanzania ni nchi ya Pili dunia kiuwezo wa Upelelezi (ujasusi)?
 
ngoja kwanza
hivi Bwana Utam yupo? huyu ni waziri wa mambo ya nje iran
kimsboy msemaji mkuu wa tehran
waje hapa kuthibitisha hii khabari kama ni natural accident or kuna some sort of jews hand

Mpaka hiv tunavyoongea ayatollah kismboy na bwana utamu wapo chimbo kwenye handaki wamejificha....huu msala mkubwa wanaona noma wataiambia nini JF [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kimsboy mwanapropaganda muqawama wa Ki-Shia[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Kwa hii kadhia hawezi kuja yupo chaka anajambajamba mixer kuharisha myahudi sio mtu mzuri[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Meli ya Sri Lanka ndiyo iliyoungua mpaka imebak skrepa mida hii
 
mtu akikuzidi akiri na nguvu ya nini kupigana naye? Iran kazidiwa kila kitu na Israel , kuanzia nguvu za kijeshi, kielimu, kilimo na demokrasi, leo innapigwa kwa remote control tuu bila jasho na damu. Israel ndiye mwenye dunia na world bank, hivyo maadui zake lazima watulie na kupatana naye la sivyo wataishia pabaya.
 
Sio kweli ingekuwa hivyo Ayatollah angekinukisha kwa "makombora imara saana" maana nasikia Iran ni ya 3 na Israel ni ya 7 kwa mataifa yenye nguvu middle east
jidanganye tuu.mbona masantisti wakeIran wanachinjwa kama ndezi na hajibu lolote. kumbuka israel ina nukilia.
 
Hii habar Mbaya hawawezi kuja mpaka kupoe ndo watakuja kwa ID zao original[emoji1787][emoji1787]kwa ukweli wapo hapa na ID zao za Backup[emoji1787][emoji1787]Kama unabisha chunguza utaniambia
Unaongelea hao jamaa wa kitengo cha propaganda cha Ayotollahs? 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣
 
Mimi nilisikia Tanzania ipo kwenye top ten duniani ya nchi imara za jeshi la ardhini (infantry) πŸ˜€πŸ˜€ πŸ˜€ mbali na uongo huo , sjui nan bado anawekeza zaidi kwenye infantry instead of air and sea battle
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…