Meli kubwa ya mizigo yashindwa kukwamuliwa katika Mfereji wa Suez kwa siku ya tatu

Meli kubwa ya mizigo yashindwa kukwamuliwa katika Mfereji wa Suez kwa siku ya tatu

Jamani na mie ni fundi ambae kwa fani yangu naweza kufanya kazi melini,je nitumie mbinu ama njia gani kuweza kupata kazi katika mameli kama hayo
Kufanya kazi melini kwa sasa hivi unatakiwa uwe na vyeti hasa usomee Tz maana kusomea nje ni ghari pia unasomea kuchomelea na safety hiyo inakupa faida kwa kufanya kazi zote melini na mshahara unaongezeka kazi zipo ni kusoma tuu na kuendelea kuomba maana watu wanapokezana kwenye kampuni moja kwa mwaka mzima na meli zipo nyingi pamoja na oil lig zinazochimba mafuta na utafiti melini hela zipo melini fanya usome tuu level yeyote wanachukua..
 
Kufanya kazi melini kwa sasa hivi unatakiwa uwe na vyeti hasa usomee Tz maana kusomea nje ni ghari pia unasomea kuchomelea na safety hiyo inakupa faida kwa kufanya kazi zote melini na mshahara unaongezeka kazi zipo ni kusoma tuu na kuendelea kuomba maana watu wanapokezana kwenye kampuni moja kwa mwaka mzima na meli zipo nyingi pamoja na oil lig zinazochimba mafuta na utafiti melini hela zipo melini fanya usome tuu level yeyote wanachukua..
Niliwahi kukutana na mfilipino ana miaka 19 tu yupo melini.......huyu kapataje kazi ya ubaharia
 
Udini ndio nini. Akitajwa Mungu unastuka.
We unadhani bila kumtukuza Mwenyezi Mungu kuna kinachokuwa chenyewe hapa duniani.
Huo mfereji ni kweli unapitisha bidhaa haramu na meli za kivita za kuwaonea wanyonge.Sasa Mungu akiufukia kuna hasara gani kwake.Mchanga uliojaa eneo la Suez ni kazi nyepesi tu kwake. Hivi sasa inazungumziwa wiki tatu ili Evergreen iondoke inaweza ikatajwa ni kazi isiyowezekana tena kwa miaka ya karibuni.Tukarudi kutumia bahari ya Atlantic kuleta mizigo Afrika na mashariki ya kati.
Watailipua wakiona hawawezi kuitoa
 
Wameshindwa na kazi ndogo ya kiinjinia. Hapo kinachotakiwa nguvu aina tatu kwa wakati mmoja. Meli moja yenye nguvu sana inavuta kwa mbele, moja inasukuma kutokea nyuma na mbili zinakuwa eneo la kati, moja kazi yake kupuliza mchanga uachie njia na nyengine inaivuta meli kuiweka sawa na uelekeo wa huo unaoitwa mfereji. Jua halikutwi meli itaendelea na safari yake.
Mawazo ya k vant iliyoexpaya
 
Niliwahi kukutana na mfilipino ana miaka 19 tu yupo melini.......huyu kapataje kazi ya ubaharia
Wafiripino ni cheap labour makampuni mengi yana mawakala wa kuwatafutia kazi hao huko nchini kwao kwa wanaume wanawake wanatafutiwa kazi za ndani hapo Hong Kong,Korea kusini na Kwa singa singa hao wasiokua na professional wanaajiliwa kama decker au wafuta oil huko engine room au kutumwa na mafundi wakuu huko engine room...
 
Mjapani anaondoa meli hiyo kwa siku moja trust me mtakuja kuniambia iro iro ossewani narimashita! Sayounaraaa
 
Back
Top Bottom