Meli ya Iran yachanganyikiwa na kufyatulia nyingine makombora na kuua wanajeshi 19 wa Iran

Meli ya Iran yachanganyikiwa na kufyatulia nyingine makombora na kuua wanajeshi 19 wa Iran

Lugha ya nn ?!
Maana umeitamka vyema sana hongera kijana

Ila naendelea kukukumbusha kama hauielewi tofauti iliopo baina ya hao jamaa elimu yako haijakusaidia kitu

Namshkuru Mungu Nilishaftari MKUU...

Sent using My COVID-19

Aaha! Kumbe njaa ya futuru ndio ilikua inakutatiza, anyway kama nilivyosema watu wa makanzu hamuna tofauti, ukianza kuyavaa mnakua mazombi fulani hivi na kukana jamii zenu, hamna cha usukuma, uajemi n.k.
 
Wayahudi huwa hawapati elimu ya madrassa ya kujilipua mabomu.
Mkishajazwa mzuka kwenye misikiti mnawaza kulipuka, nyote hao wajemi, waarabu na maskini wakiafrika wavaa makanzu
Eti kwa nn serikali ya Israel inaruhusu mashoga kuwa askari?
Ukitaka uthibitisho nakupa!!

Kwa nn Netanyahu anatambua mashoga kama askari? Wanapakwa vilainishi na kushika ukuta?
Hivi ni taifa teule au wahuni tu wanakaa pale?

Tel Aviv inaitwa gay paradise na kila mwaka wanafanya parade kubwa sana hapo Tel Aviv.
Asee hii dunia hapana, Africa mnakomaa mpaka povu linawatoka eti ni taifa teule, wakati wenzenu wanapakwa vilainishi, endeleeni
 
Eti kwa nn serikali ya Israel inaruhusu mashoga kuwa askari?
Ukitaka uthibitisho nakupa!!
Kwa nn Netanyahu anatambua mashoga kama askari? Wanapakwa vilainishi na kushika ukuta?
Hivi ni taifa teule au wahuni tu wanakaa pale?
Tel Aviv inaitwa gay paradise na kila mwaka wanafanya parade kubwa sana hapo Tel Aviv.
Asee hii dunia hapana, Africa mnakomaa mpaka povu linawatoka eti ni taifa teule, wakati wenzenu wanapakwa vilainishi, endeleeni

Ushoga au miqundu ya wayahudi inanihusu kivipi, huwa siwashobokei kama nyie mnavyofanya kwa waarabu na waajemi.
 
Hatujaambiwa sababu ni nini ila naona comments nyingi za kuponda warabu na uislamu, nyingine za kuonesha misimamo kama vile ni uzembe kilichotokea... lakini subiri yakukute na wewe ndo utajua kama sababu ni nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushoga au miqundu ya wayahudi inanihusu kivipi, huwa siwashobokei kama nyie mnavyofanya kwa waarabu na waajemi.
Mimi nimeuliza tu nipate kufahamu kwa sababu ndio ukweli wenyewe.
Ndio waarabu wana kosa gani?

Marekani wanachukua Mali yao kwa nguvu inamhusu nini?

Angalia nani yupo kwa mwenzie, mzungu yupo kwa waarabu, huo sio uchokozi?hio sio wizi? Huo si ugaidi?
Nalaani vikali wayahudi na wazungu wanachofanya middle east na ninayo sababu.

Suala la ubaguzi tusiende mbali, South Africa hapo mwaka Jana mtu mweusi anamuua mweusi mwenzie.
Yaani tunabaguliwa na race zote duniani mpaka na sisi tunabaguana.
 
Mi nimeuliza tu nipate kufahamu kwa sababu ndio ukweli wenyewe.
Ndio waarabu wana kosa gani?
Marekani wanachukua Mali yao kwa nguvu inamhusu nini?
Angalia nani yupo kwa mwenzie, mzungu yupo kwa waarabu, huo sio uchokozi?hio sio wizi? Huo si ugaidi?
Nalaani vikali wayahudi na wazungu wanachofanya middle east na ninayo sababu.
Suala la ubaguzi tusiende mbali, South Africa hapo mwaka Jana mtu mweusi anamuua mweusi mwenzie.
Yaani tunabaguliwa na race zote duniani mpaka na sisi tunabaguana.

Wewe mswahli wa kwa mtongole umevimbiwa wali halaafu unalaani mzungu???? Hehehe!! Huwa mnachekesha sana....wale wanajuana wenyewe, hao waarabu wapo ambao ukiwaambia Marekani atoke uarabuni watakuua, maana wenyewe kwa wenyewe kwa walivyo wajinga wamechonganishwa na kuishi kwa visasi na kuviziana.
Dunia hii ishi kijanja janja na kibabe......acha pumba za kuamini hayo mambo ya laana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaha! Kumbe njaa ya futuru ndio ilikua inakutatiza, anyway kama nilivyosema watu wa makanzu hamuna tofauti, ukianza kuyavaa mnakua mazombi fulani hivi na kukana jamii zenu, hamna cha usukuma, uajemi n.k.
Sijawahi kuwaza kuikana jamii yangu MKUU tena najivunia sana hivi nilivo

Sent using My COVID-19
 
Wewe mswahli wa kwa mtongole umevimbiwa wali halaafu unalaani mzungu???? Hehehe!! Huwa mnachekesha sana....wale wanajuana wenyewe, hao waarabu wapo ambao ukiwaambia Marekani atoke uarabuni watakuua, maana wenyewe kwa wenyewe kwa walivyo wajinga wamechonganishwa na kuishi kwa visasi na kuviziana.
Dunia hii ishi kijanja janja na kibabe......acha pumba za kuamini hayo mambo ya laana.
Umeamua kufunguka mwenyewe kwamba wazungu wanafanya ubabe na kuiba mali za wenzao.
Kumbe mbafahamu ila mnajitoa akili tu.

Kusema kuna waarabu wanataka marekani aendelee kukaa pale ni kawaida, kwa maana huwezi kukubalika na watu wote hata siku moja.

Hata trump hapendwi na wengi tu hapo USA.

Hata uwe vipi hutokubalika na wote,hata mitume walipata wapinzani japo walikuwa sahihi.
Lakini pro US mnajua wazungu na Jews ni uonevu wanafanya.
 
Wewe mswahli wa kwa mtongole umevimbiwa wali halaafu unalaani mzungu???? Hehehe!! Huwa mnachekesha sana....wale wanajuana wenyewe, hao waarabu wapo ambao ukiwaambia Marekani atoke uarabuni watakuua, maana wenyewe kwa wenyewe kwa walivyo wajinga wamechonganishwa na kuishi kwa visasi na kuviziana.
Dunia hii ishi kijanja janja na kibabe......acha pumba za kuamini hayo mambo ya laana.
Hao wazungu wenyewe wanaishi kimitego mitego
Siku ukijitambua utajielewa Zaidi KIONGOZI....

Sent using My COVID-19
 
Hao wazungu wenyewe wanaishi kimitego mitego
Siku ukijitambua utajielewa Zaidi KIONGOZI....

Sent using My COVID-19

Wewe futari kwanza maana njaa itakufanya uandike andike vitu ambavyo havieleweki, ukishiba njoo uandike upya.
 
Umeamua kufunguka mwenyewe kwamba wazungu wanafanya ubabe na kuiba mali za wenzao.
Kumbe mbafahamu ila mnajitoa akili tu.
Kusema kuna waarabu wanataka marekani aendelee kukaa pale ni kawaida, kwa maana huwezi kukubalika na watu wote hata siku moja.
Hata trump hapendwi na wengi tu hapo USA.
Hata uwe vipi hutokubalika na wote,hata mitume walipata wapinzani japo walikuwa sahihi.
Lakini pro US mnajua wazungu na Jews ni uonevu wanafanya.

Waarabu mnaibiwa mkifanya nini wazembe tu bure kabisa, acheni kuvaa mikanzu muelimike na kujua mbinu za kupambana na ujanja wa mzungu, mnapenda kulialia na kujilipua mabomu hovyoo.
 
Waarabu mnaibiwa mkifanya nini wazembe tu bure kabisa, acheni kuvaa mikanzu muelimike na kujua mbinu za kupambana na ujanja wa mzungu, mnapenda kulialia na kujilipua mabomu hovyoo.
Mkuu huwezi kupambana na watu wote wale, UK, FRANCE, USA , GERMANY, ITALY, n.k.
Hao wote wanakupiga hata kama una silaha utajitetea kweli?
 
Mkuu huwezi kupambana na watu wote wale, UK,FRANCE, USA , GERMANY, ITALY, n.k.
Hao wote wanakupiga hata kama una silaha utajitetea kweli?

Na wao hupambanaa baina yao, ukiwa mjanja watakuheshimu ila ukijiachia legelege wa kupelekeshwa watakutafuna sana, hebu ona jinsi wao huitafuna Afrika hadi mifupa, rasmlimali zote wanazigundua wao na kuja kuzichukua, kwa mfano gesi, Mwafrika alikua analima mihogo, hakujua ana gesi, mpaka wakaja wao na kuigundua na kuanza kuichuma na kujibebea hadi kwao.
Sasa hapo mjinga nani..
 
Na wao hupambanaa baina yao, ukiwa mjanja watakuheshimu ila ukijiachia legelege wa kupelekeshwa watakutafuna sana, hebu ona jinsi wao huitafuna Afrika hadi mifupa, rasmlimali zote wanazigundua wao na kuja kuzichukua, kwa mfano gesi, Mwafrika alikua analima mihogo, hakujua ana gesi, mpaka wakaja wao na kuigundua na kuanza kuichuma na kujibebea hadi kwao.
Sasa hapo mjinga nani..
Kwa hio waafrika ni wajinga?
 
Wewe futari kwanza maana njaa itakufanya uandike andike vitu ambavyo havieleweki, ukishiba njoo uandike upya.
Nnapokua naandika nikiwa nafunga hua naandika points tupu kijan

Sent using My COVID-19
 
Waarabu mnaibiwa mkifanya nini wazembe tu bure kabisa, acheni kuvaa mikanzu muelimike na kujua mbinu za kupambana na ujanja wa mzungu, mnapenda kulialia na kujilipua mabomu hovyoo.
CHUKI zinakutesa sana WAAJEMI kilaleo wanapambana kuzidi kujikwamua kutoka katika makucha yamagharibi ila kwakua wanamrengo wa UISLAM unawachukia halafu UNATAMANI waafrika wapapatue

Kwahio lengo lako kubwa hasa lipi Chuki kwa waarabu Chuki kwa WAISLAM chuki kwa WAAFRIKA maana unaruka ruka kama samaki kikaangoni...

Sent using My COVID-19
 
Back
Top Bottom