De Capri Don
JF-Expert Member
- Sep 13, 2023
- 481
- 947
Mabikra kuwapata ni costUkishakuwa muislam ugaidi unakuwa rohoni mwako
Usidanganyike hakuna mabikira
Unadhani utawapata Kwa kuimba mapambio ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabikra kuwapata ni costUkishakuwa muislam ugaidi unakuwa rohoni mwako
Usidanganyike hakuna mabikira
Unafupisha wewe Yemen wamesema meli yeyoye Marekani au Israel ikipita maeneo yao wanapita nayo.kwa kufupisha ni kwamba wajapani wametekwa
Biashara za magendo ndio zenye faida kubwaItauzwa soko gani huria ? labda iuzwe kimagendo
Na mfano mzuri ni ww maana mtoa mada hakuna sehemu ameongelea dini lakini ww umesha anza kuongelea dini.Dini imeathiri pakubwa uwezo wa asili wa binadamu kufikiri.
Nachukia sana uonevu wa hawa Waisraeli kwani wanatumia nguvu kubwa kupambana na Kikundi kidogo cha watu huku wakiangamiza mamia ya watu wasio na hatia.Hiyo imeshaingia mikononi inabidi ipigwe mnada pesa ziende Palestine
Israel anajua kazungukwa na maadui waliokaririshwa itikadi uchwara Ndo maana hana mda wa kuskiliza UN sijui UNICEF ni kupiga tu gaidi hana umri
Meli ikishakuwa na bendera ya israel hyo ni ya israel mkuu na washaonya meli zenye bendera ya israel zisikatize hapokwa kufupisha ni kwamba wajapani wametekwa
Sawa muisrael wa madongokuinama tumekusikiaFocus yetu israel ni kuangamiza magaidi pale palestina na uzao wao hao yemen watiache kwanza wabaki na lijimeli
Halafu msije kuanza kulia lia hapa IDF wanaua watoto na wazee.Hao Wajapani wawaachie waende zao, ila hiyoo meli waitie kiberiti
Unalia lia nini?Hii meli ilikua imekodiwa na Japan ila inamilikiwa na kampuni ya Uingereza, imesheheni raia wa Ufilipino na mataifa mengine ila hakukua na Muisraeli, dunia ikiendelea kuwachekea hawa watu italia, nafikiri wanaofanya maandamano wanapaswa kuanza kuona matukio kama haya.
==========================
The Israel Defense Forces says the hijacking of a shipping vessel in the Red Sea by the Iran-backed Houthis in Yemen is a “very serious incident on the global scale.”
It says the ship was sailing from Turkey to India with an international civilian crew, without any Israelis aboard.
“This is not an Israeli ship,” the IDF adds.
The military directly blames the Houthis for the hijacking.
There are no Israelis among the crew aboard the Galaxy Leader ship. Arabic-language media outlets say there are 52 crew members aboard the vessel.
The Bahaman-flagged vessel is registered under a British company, which is partially owned by Israeli tycoon Abraham Ungar, who goes by Rami. The vessel was leased out to a Japanese company at the time of the hijacking.
The Iran-backed Houthis have vowed to target Israeli-linked vessels in the Red Sea.
Mmeshaambiwa isipite meli kupeleka mizigo israel iwe ya uk au usa hakuna kupita hyo njia sasa unalalamika sijui wa filipino mara uingereza na washaambiwa hakuna kwenda israel
Mbona na wewe upo Tanzania na una njaa?Yemen ni nchi iliyogawanyika vipande viwili, inakabiliwa na njaa ila cha ajabu inataka watu wake wafe ianze kusema Israrel inawaonea, na wale Wa Aden wakisaidiwa na Israel waanze kulaumiana