Meli ya kivita ya Marekani imepata athari mbaya.Uchunguzi unaendelea

Meli ya kivita ya Marekani imepata athari mbaya.Uchunguzi unaendelea

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Meli moja ya kivita iitwayo USNS Big Horn imeharibika kama ambavyo inadaiwa picha zimekuwa zikirushwa mitandao kuifanya Marekani ianze kutoa taarifa ya tukio hilo.
Meli hiyo imepata athari kama hiyo karibu na eneo la bahari ya Oman .Hata hivyo mabaharia wa meli hiyo wako salama ingawaje wazungumzaji wa kwenye mitandao wamekuwa wakisema imezama zamani na pahala pake kuchukuliwa na meli ya Henry J. Kaiser-class yenye majukumu sawa na USNS big horn

US Navy replenishment ship operating in Mideast was damaged in an incident, officials say

 
USNS Big Horn imejikwaa kwenye miamba ikiwa kwenye maji ya kina kifupi karibu na ufukweni. Ilianza kuingia maji ila meli za kivita zina watertight compartments. Haijavuja mzigo wake wa mafuta hivyo haina madhara makubwa yaliyotokea.

Ni meli ya kujaza mafuta ya meli kwenye meli nyingine.
 
USNS Big Horn imejikwaa kwenye miamba ikiwa kwenye maji ya kina kifupi karibu na ufukweni. Ilianza kuingia maji ila meli za kivita zina watertight compartments. Haijavuja mzigo wake wa mafuta hivyo haina madhara makubwa yaliyotokea.

Ni meli ya kujaza mafuta ya meli kwenye meli nyingine.
Una uhakika haikupigwa na droni ya chini ya bahari ?.
 
Wewe mwenye uhakika tuwekee video hapa,sio Hezbollah wala Iran atakaethubutu kugusa meli ya kivita ya Marekani kwasasa. Uchahguzi upo karibu.
Mkumbushe mwaka 1988 Iran bahati mbaya alivyotega mines zikaharibu US warship. Marekani ilikuwa kwenye operation kwenye international waters kulinda meli ya mafuta ya Kuwait, kama inavyofanya sasa kulinda meli dhidi ya Houthi. Iran ikatega mabomu ya kwenye maji yakalipua meli ya Marekani na kuifanya ikarekebishwe.

Marekani ikaanzisha Operation Praying Mantis kwenye eneo la bahari linalomilikiwa na Iran kumfundisha adabu Ayatollah. Matokeo yakaisha kwa Iran kupoteza wanajeshi 56, meli mbili, ndege mbili na boti tatu. Marekani ikapata tu ajari ya helicopter wakafa marubani wawili.

Tangu hapo Iran akimuona Marekani kwenye maji anakula kona.
 
Mkumbushe mwaka 1988 Iran bahati mbaya alivyotega mines zikaharibu US warship. Marekani ilikuwa kwenye operation kwenye international waters kulinda meli ya mafuta ya Kuwait, kama inavyofanya sasa kulinda meli dhidi ya Houthi. Iran ikatega mabomu ya kwenye maji yakalipua meli ya Marekani na kuifanya ikarekebishwe.

Marekani ikaanzisha Operation Praying Mantis kwenye eneo la bahari linalomilikiwa na Iran kumfundisha adabu Ayatollah. Matokeo yakaisha kwa Iran kupoteza wanajeshi 56, meli mbili, ndege mbili na boti tatu. Marekani ikapata tu ajari ya helicopter wakafa marubani wawili.

Tangu hapo Iran akimuona Marekani kwenye maji anakula kona.
Meli moja ilipigwa na Iran .Halafu wakaangusha na helkopta na wanajeshi wa US wakafa.
Kwa hali hiyo kila mmoja alipata hasara na Marekani ilishika adabu yake.
 
Baada ya Hezbola ni Houthi baada ya Houthi IDF ihamie JF kiwasaka Terrorist sympathisers😁
Athari kwa meli hiyo ya kujaza mafuta meli kubwa za kivita huenda kukaathiri kikundi cha meli zinazounda ushirika kwa meli zote hizo.
 
Athari kwa meli hiyo ya kujaza mafuta meli kubwa za kivita huenda kukaathiri kikundi cha meli zinazounda ushirika kwa meli zote hizo.
Meli za Supply ziko nyingi.
 
Meli za Supply ziko nyingi.
Kila kitu kiko kingi.Isipokuwa kuharibika kwa hii kunaweza kukadororesha kila wanachokifanya US katika bahari za mashariki ya kati
 
Kila kitu kiko kingi.Isipokuwa kuharibika kwa hii kunaweza kukadororesha kila wanachokifanya US katika bahari za mashariki ya kati
Itakuwa Replaced kwasababu wanatengeza wao wenyewe sio kama nyie mpaka mnunue kutoka Nchi za Nagharibi.
 
USNS Big Horn imejikwaa kwenye miamba ikiwa kwenye maji ya kina kifupi karibu na ufukweni. Ilianza kuingia maji ila meli za kivita zina watertight compartments. Haijavuja mzigo wake wa mafuta hivyo haina madhara makubwa yaliyotokea.

Ni meli ya kujaza mafuta ya meli kwenye meli nyingine.
Taarifa sahihi ni kuwa imeshambuliwa na yemen
 
Meli moja ilipigwa na Iran .Halafu wakaangusha na helkopta na wanajeshi wa US wakafa.
Kwa hali hiyo kila mmoja alipata hasara na Marekani ilishika adabu yake.
Marekani haikupigwa meli, Iran ilitega mabomu ovyo majini ili kuzuia meli za Iraq. Marekani ikawa inalinda passage ya meli za mizigo na mafuta za kimataifa ghafla meli yake ya kivita ikajeruhiwa na mines za Iran kwa bahati mbaya (na hakuna aliyekufa).

Marekani ikaenda kuifundisha adabu Iran kwenye mipaka yake. Matokeo yakaisha Iran imepoteza wanajeshi 58 kwa kushambuliwa na Marekani, Marekani imepoteza marubani wawili kwa ajari ya helikopta wakati inatua.

Marekani iliishambulia Iran kama onyo, kwamba siku nyingine utumie akili huwezi tega mabomu international waters kisa una ugomvi na jirani. Ukitaka mabomu tega kwenye bahari unayomiliki wewe.
 
Back
Top Bottom