Meli ya New Victoria yawasili salama Bukoba baada ya ukarabati mkubwa

Meli ya New Victoria yawasili salama Bukoba baada ya ukarabati mkubwa

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,830
Reaction score
4,729
14B1767F-F0E0-44E4-80D5-B64BDC555574.jpeg

64885891-F0BC-4C01-9A22-7B909A0A9375.jpeg



SOMA PIA>>>Live: Majaribio ya meli kubwa ya kisasa (New Victoria) fuatana nasi kupitia TBC1
 
Kwahiyo ndo meli ya kwanza kuingia nchi hii ili tumpatie utawala milele?? Je watangulizi wake hawajayafanya hayo?? Mv liemba toka mwaka 1914 inafanya kz lake Tanganyika, vp hiyo hamuioni?? mnaonaje na wao wakirudi kujakuitawala Tanganyika?? Reli ya kati iliyojengwa na mjerumani je?? Acheni ushamba wa madaraka ninyi uvccm...mtakuwa mapimbi hadi lini?? Sifa nyingine ni za kijinga na ulimbukeni....toka enzi hzo, meli zipo , ndege zipo, barabara zipo na vivuko vipo...kipi ambacho magufuri kakifanya hakijafanyika toka nchi ipate uhuru????
 
Magufuli ni Rais kweli kweli.
Wapinzani wakubali tu kumsimamisha Maalim kule Zanzibar lakini Bara hakuna namna hatutaki Mtu mwingine kwa sasa.
Magufuli anatosha kwenye Urais.

Wapinzani wajitikeze wamuunge mkono ili Urais apite na hata kama watagombea waepuke sana kumkejeli mana wananchi watazidi kuuchukia upinzani.

Ubunge kwa kweli bado CCM haina wabunge wanaowakilisha wananchi.
Wabunge wengi wanawakilisha viti vyao na familia zao. Wapo kimaslahi.

Ubunge kwa kweli wapinzani wajitahidi kugombea hasa akina mama . Wabunge wa Upinzani wanaume wana tamaa sana ya vyeo wapigwe chini. Hasa Mbowe apigwe chini hata kwa kuiba kura ili ajikite kwenye kujenga Chama chake kwani ameshindwa kuwakilisha wananchi.

Magufuli amejitahidi sana sana kujenga nchi na kwenda mbele zaidi kutoka alipoachiwa na Komredi Jakaya.
 
Kwahiyo ndo meli ya kwanza kuingia nchi hii ili tumpatie utawala milele?? Je watangulizi wake hawajayafanya hayo?? Mv liemba toka mwaka 1914 inafanya kz lake Tanganyika, vp hiyo hamuioni?? mnaonaje na wao wakirudi kujakuitawala Tanganyika?? Reli ya kati iliyojengwa na mjerumani je?? Acheni ushamba wa madaraka ninyi uvccm...mtakuwa mapimbi hadi lini?? Sifa nyingine ni za kijinga na ulimbukeni....toka enzi hzo, meli zipo , ndege zipo, barabara zipo na vivuko vipo...kipi ambacho magufuri kakifanya hakijafanyika toka nchi ipate uhuru????
Siku ukiacha mawazo ya kikoloni basi rudi tena hapa kuja kujadili hii kazi nzuri iliyo fanywa na mh Rais.
 
Nikivuta kumbukumbu hii meli ilifanyiwa ukarabati mkubwa tena enzi za mkapa ,,,ni meli nzuri sana.
Ila inabidi ziwa victory lipate meli mpya kubwa kuliko hiyo mbili,bukoba abiria na mizigo kutoka mz to bukoba na verse vesa ni mkubwa mno,inatakiwa meli mbili ziwe zinapishana,,yaani usafiri uwepo kila siku
 
Nikivuta kumbukumbu hii meli ilifanyiwa ukarabati mkubwa tena enzi za mkapa ,,,ni meli nzuri sana.
Ila inabidi ziwa victory lipate meli mpya kubwa kuliko hiyo mbili,bukoba abiria na mizigo kutoka mz to bukoba na verse vesa ni mkubwa mno,inatakiwa meli mbili ziwe zinapishana,,yaani usafiri uwepo kila siku


Mkuu kama unafuatilia kuna meli mpya ambayo itakamilika mwakani mwezi March wanasema ni kubwa, vile vile ipo nyingine kama sikosei MV Butiama. Hivyo zitakuwepo meli tatu.
 
Siku ukiacha mawazo ya kikoloni basi rudi tena hapa kuja kujadili hii kazi nzuri iliyo fanywa na mh Rais.
Na ww cku ukitumia kichwa chako vzr urudi hapa kuja kujadili maendeleo na si maigizo ya kishamba
 
Back
Top Bottom