Meli ya New Victoria yawasili salama Bukoba baada ya ukarabati mkubwa

Meli ya New Victoria yawasili salama Bukoba baada ya ukarabati mkubwa

Hapa kwenye meli amegusa Sana wakazi wa bukoba na mwanza aisee.
Sehemu haikutosha ya bandari
FB_IMG_15933642029573206.jpeg
FB_IMG_15933642081122840.jpeg
FB_IMG_15933630115517366.jpeg
 
Vp kuhusu MV Dar-Es-Salaam iliyofanya test siku moja na ikifa watu wakapiga Bii 8.
 
Wimbo wa taifa unapigwa vyombo vya dola na raia wanaendelea na mambo yao!

Ndio maana amna katiba na sheria za nchi hazina kazi tena kwenye hili taifa ni sheria ya mtu mmoja tu ndio inafanya kazi.
 
Sio ajabu kuna watu wanaombea izame na watu waliomo chomboni wafe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....

Hawa hawana tofauti na wale waliokuwa wanaombea ile idadi ya Wamarekani waliokufa kwa Corona ndio iwe huku kwetu
 
Sio ajabu kuna watu wanaombea izame na watu waliomo chomboni wafe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....

Hawa hawana tofauti na wale waliokuwa wanaombea ile idadi ya Wamarekani waliokufa kwa Corona ndio iwe huku kwetu

Wanga.
 
Wajinga ndio mitaji ya Masisiemu yaani Kudanganywa na Meli ndio wanaona serikali inawajali,wajinga wanashindwa kujua kwamba sasa ni kipindi cha uchaguzi.
Hata kama ni uchaguzi.

Lakin tangu MV bukoba imezama na meli zaidi ya kumi kuharibika na mwishowe 2014 MV Victoria nayo ikafa bandari ya bukoba na mwanza zilipooza.

Mama ntirie,bodaboda,wachuuzi,wabeba mizigo tena Kwa bukoba route ya daladala ziendazo bunena ( bandarini) ilikufa kabisa wakati ndo ilikuwa na abiria wengi Sana .sasa meli ikirudi lazima wanyonge hawa wafurahi Sana pamoja na maswahibu ya tetemeko yaliyowakumba.


Meli ni rahisi kupanda kuliko hata ndege maana nauli yake ni ndogo kuliko hata basi
 
Hata kama ni uchaguzi.

Lakin tangu MV bukoba imezama na meli zaidi ya kumi kuharibika na mwishowe 2014 MV Victoria nayo ikafa bandari ya bukoba na mwanza zilipooza.

Mama ntirie,bodaboda,wachuuzi,wabeba mizigo tena Kwa bukoba route ya daladala ziendazo bunena ( bandarini) ilikufa kabisa wakati ndo ilikuwa na abiria wengi Sana .sasa meli ikirudi lazima wanyonge hawa wafurahi Sana pamoja na maswahibu ya tetemeko yaliyowakumba.


Meli ni rahisi kupanda kuliko hata ndege maana nauli yake ni ndogo kuliko hata basi
Hayo matatizo uliyoyaeleza yamesababisha na serikali ya CCM,wanakusanya kodi inabidi iwahudumie wananchi,kama tangu 2014 walikuwa hawana meli basi ndio failure hiyo ya serikali ya ccm,MV dar-es-salaam "MTU FURANI" alinunua lakini ndani ya mwezi ikafilia mbali watu wakapiga Biii nane!! Tunalipa kodi serikali inabidi itimize wajibu wake ,serikali kuleta maendeleo sio hisani ni wajibu na inatakiwa watekeleze ontime na ndio maana tunawalipa mishahara DC,RC,DED,DAS,Wabunge etc ili watuhudumie kutuletea maendeleo ,ukione serikali haijaleta maendeleo huku ikikusanya kodi basi imefeli inapaswa iondolewe kwenye sanduku la kura.
 
Sio ajabu kuna watu wanaombea izame na watu waliomo chomboni wafe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....

Hawa hawana tofauti na wale waliokuwa wanaombea ile idadi ya Wamarekani waliokufa kwa Corona ndio iwe huku kwetu
Mkuu mbona una majungu? najua unamaanisha ni sisi CHADEMA,Ila kwa taarifa yako tutapinga tu,kifupi tunasema NDIO na wewe ukisema NDIO sie tunabadili tunasema SIO.
 
Ili meli hizo zilete faida inabidi mfumo wa kampuni ubadilishwe na uwekwe mfumo wa kampuni za meli wa kisasa.

Hapo wana wataalamu wa Navigation, Engineering na Ship Construction. Kuna watu muhimu wa ship business hawapo hao ndio wanajua nini kipatikane na faida itakayokuja.Uongozi huo ubadilike na waje na mifumo ya kisasa.

Mchawi wa mambo yetu ni sisi wenyewe, wizara ya ujenzi kuna miamba sio watu wa Marine ila wao ndio waamuzi.

Mabaya yote kwenye masuala ya meli kuna watu wengine ni expert wa marine na wengine sio wamefanya kukwamisha juhudi za serikali tangu zamani.
 
Ili meli hizo zilete faida inabidi mfumo wa kampuni ubadilishwe na uwekwe mfumo wa kampuni za meli wa kisasa.

Hapo wana wataalamu wa Navigation, Engineering na Ship Construction. Kuna watu muhimu wa ship business hawapo hao ndio wanajua nini kipatikane na faida itakayokuja.Uongozi huo ubadilike na waje na mifumo ya kisasa.

Mchawi wa mambo yetu ni sisi wenyewe, wizara ya ujenzi kuna miamba sio watu wa Marine ila wao ndio waamuzi.

Mabaya yote kwenye masuala ya meli kuna watu wengine ni expert wa marine na wengine sio wamefanya kukwamisha juhudi za serikali tangu zamani.
Wazee wa kusubiri litokee ili wakosoe!
Imetoka hiyo, waliobisha haiwezekani vichwa chini imewezekana!
 
Hao watu hawajitambui kabisa, hiyo meli ilikuwepo miaka kibao
 
Hayo matatizo uliyoyaeleza yamesababisha na serikali ya CCM,wanakusanya kodi inabidi iwahudumie wananchi,kama tangu 2014 walikuwa hawana meli basi ndio failure hiyo ya serikali ya ccm,MV dar-es-salaam "MTU FURANI" alinunua lakini ndani ya mwezi ikafilia mbali watu wakapiga Biii nane!! Tunalipa kodi serikali inabidi itimize wajibu wake ,serikali kuleta maendeleo sio hisani ni wajibu na inatakiwa watekeleze ontime na ndio maana tunawalipa mishahara DC,RC,DED,DAS,Wabunge etc ili watuhudumie kutuletea maendeleo ,ukione serikali haijaleta maendeleo huku ikikusanya kodi basi imefeli inapaswa iondolewe kwenye sanduku la kura.
Lakin hata kama CCM haikuikarabati mapema.

Usiwazuie watu kufurahi sasa wakiishaikarabati.


Hata hiyo CCM ilikuwa mbovu mno lakin uongozi unabadilika .

Ilimradi meli imerudi mambo ya siasa waachie wanasiasa wenyew.

Serikali ya CCM Kwa sababu ya siasa zake inashindwa kujenga stendi ya bukoba ( sasa kuna kikorongo Fulani wanapaki magari) kisa bukoba ina uongozi wa upinzani ambao nao wamejikongoja wakapata milion 200 wakaanza ujenzi wa stendi mpya kyakairabwa lakin wakashindwa kuimaliza Kwa sababu ya pesa.

JPM anapita bukoba akitoka kukagua maranch yake huko misenyi wananchi wanamsimamisha anawaambia mulifanya makosa wenyew ndo maana hatoi hela ya stendi.


Siasa zinarudisha nyuma maendeleo Sana ndo maana sizishabikii bali hushabikia maendeleo
 
Mkuu mbona una majungu? najua unamaanisha ni sisi CHADEMA,Ila kwa taarifa yako tutapinga tu,kifupi tunasema NDIO na wewe ukisema NDIO sie tunabadili tunasema SIO.
Mkuu sijataja mtu au kikundi chochote cha kihuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom