Meli ya New Victoria yawasili salama Bukoba baada ya ukarabati mkubwa

Meli ya New Victoria yawasili salama Bukoba baada ya ukarabati mkubwa

Kuna mafara TZ yanaona JPM kaleta mapya, kwa kweli ni ujinga mkubwa kusema kuwa JPM kaleta vitu vipya, wenye akili tunanajua hakuna jipya chini ya jua, JPM hana jipya, hata Nyerere hakuwa na jipya aliendeleza yaliyoanzishwa na wakoloni hata alipokufa alifia kwa wakoloni huko UK.

Enyi vinyamkela wa lumumba kawadanganyeni wazaramo kuwa JPM anachapa kazi wkt na yeye ni mpiga deal tu kama hao waliomtangulia
Kwahiyo ndo meli ya kwanza kuingia nchi hii ili tumpatie utawala milele?? Je watangulizi wake hawajayafanya hayo?? Mv liemba toka mwaka 1914 inafanya kz lake Tanganyika, vp hiyo hamuioni?? mnaonaje na wao wakirudi kujakuitawala Tanganyika?? Reli ya kati iliyojengwa na mjerumani je?? Acheni ushamba wa madaraka ninyi uvccm...mtakuwa mapimbi hadi lini?? Sifa nyingine ni za kijinga na ulimbukeni....toka enzi hzo, meli zipo , ndege zipo, barabara zipo na vivuko vipo...kipi ambacho magufuri kakifanya hakijafanyika toka nchi ipate uhuru????
 
Kuna mafara TZ yanaona JPM kaleta mapya, kwa kweli ni ujinga mkubwa kusema kuwa JPM kaleta vitu vipya, wenye akili tunanajua hakuna jipya chini ya jua, JPM hana jipya, hata Nyerere hakuwa na jipya aliendeleza yaliyoanzishwa na wakoloni hata alipokufa alifia kwa wakoloni huko UK.

Enyi vinyamkela wa lumumba kawadanganyeni wazaramo kuwa JPM anachapa kazi wkt na yeye ni mpiga deal tu kama hao waliomtangulia
Nilidhani una hasira kali ila nilipoangalia id ya Kambi ya Fisi nimeishia kucheka tu!
 
Kwahiyo ndo meli ya kwanza kuingia nchi hii ili tumpatie utawala milele?? Je watangulizi wake hawajayafanya hayo?? Mv liemba toka mwaka 1914 inafanya kz lake Tanganyika, vp hiyo hamuioni?? mnaonaje na wao wakirudi kujakuitawala Tanganyika?? Reli ya kati iliyojengwa na mjerumani je?? Acheni ushamba wa madaraka ninyi uvccm...mtakuwa mapimbi hadi lini?? Sifa nyingine ni za kijinga na ulimbukeni....toka enzi hzo, meli zipo , ndege zipo, barabara zipo na vivuko vipo...kipi ambacho magufuri kakifanya hakijafanyika toka nchi ipate uhuru????
Pole sana mzee[emoji3]
 
Kuna cha kujifunza kwenye huu ukarabati wa hizi Meli.

Ila kila nikitizama hizi picha jinsi hiyo Meli ilivyo kuna taswira napata nyuma ya Pongezi na Kusifu.
 
Hii yenyewe imegharimu Tsh billion 23 kwa ukarabati pekee, nimejiuliza Meli mpya ni kiasi gani?
Meli kubwa mpya ni zaidi ya Billion 23. Hiyo pesa ni sahihi kama wamefanya ukarabati kuanzia injini,majenereta na sehemu za ndani na nje ya meli.
 
Basi sahihi kwa pesa hiyo.
Hizo meli ingawa zilijengwa zamani vyuma vyake bado vipo vizuri. Kwa sasa kupata material kama ya meli hizo bei itapaa zaidi.
Old is Gold.
Ndio kabisa maana MV bukoba ilikuwa mpya kuliko hii lakin ilikuwa mbovu
 
Ndio kabisa maana MV bukoba ilikuwa mpya kuliko hii lakin ilikuwa mbovu
MV Bukoba ilikuwa na tatizo la Stability.

Na wale waliojenga (Wabelgiji) waliandikiwa barua ya kuifanyia maboresho walikubali na mwishoni mwa mwaka 1996 bahati mbaya ikazama kabla.
 
Kajenga kilomita nyingi za rami kuliko utawala wowote.kaleta heshima ya tz kama nyerere alivyoiacha.kajenga fly over kibao dar kuliko rais yeyote.sema tena
Kwahiyo ndo meli ya kwanza kuingia nchi hii ili tumpatie utawala milele?? Je watangulizi wake hawajayafanya hayo?? Mv liemba toka mwaka 1914 inafanya kz lake Tanganyika, vp hiyo hamuioni?? mnaonaje na wao wakirudi kujakuitawala Tanganyika?? Reli ya kati iliyojengwa na mjerumani je?? Acheni ushamba wa madaraka ninyi uvccm...mtakuwa mapimbi hadi lini?? Sifa nyingine ni za kijinga na ulimbukeni....toka enzi hzo, meli zipo , ndege zipo, barabara zipo na vivuko vipo...kipi ambacho magufuri kakifanya hakijafanyika toka nchi ipate uhuru????
 
Mtumwa ni wewe mpumbavu unayelipwa buku kupost nonesense humu .
Kenge wewe

Kama ningekuwa nalipwa tangu JF ilipoanza si ningekuwa na uwezo wa kukupa ban? Hoja zikiwashinda mnakimbilia kwenye matusi. FYI matusi ni maneno tu hayaniyumbishi, ukisha ondoa matongotongo kwenye uwezo wako wa kufikiri rudi hapa tujadili mambo ya kutokomeza Ujinga kwa kizazi kijacho. BTW huna hata mwezi tangu ubadili jina, kwa hiyo nilikushinda hoja somewhere ndio sababu unataharuki, karibu tena mimi ndio yule yule Wacha1. Hoja haipigwi rungu!
 
Back
Top Bottom