Axel Lloyd
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 4,170
- 9,500
Brimstone missilesKuna Makombora fulani kutoka UK ,,Ukr ndio wanayatumia kushambulia yaani ni mwiba kwa Russia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Brimstone missilesKuna Makombora fulani kutoka UK ,,Ukr ndio wanayatumia kushambulia yaani ni mwiba kwa Russia
huyu bwana analalizimisha tusimwamini, Meli ya tatu hatukuiyona kabisa na hii ya nne katuwekea nzima yenye afya njema, na hata hiyo ya pili tukimuuliza inaitwaje anaweza Kututajia jina tofauti na la mwanzo!!Kwanza kabla hii ya nne hivi ile ya tatu mbona hamjaweka picha ha ha ha ha ha ha
Habari mpya usiku huu kamanda mwingine wa marekani ameuawa huko maikolaiv