britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Nimevumilia kutoonesha kama nakerwa ila kuna hujuma ndani ya Jeshi la Urusi nahisiHapa warusi kuna mahali tunahujumiwa
Jamaa waliidharau hii ishu Lakin ni ngumu Urusi kutoboa na mbaya zaidi impact zitaanza kuonekana mwezi ujao! We are not concerned na loss za Ukraine, but any loss to Russia matter in our sideHapa warusi kuna mahali tunahujumiwa
Angalia hizo habari na huyo anaetoa [emoji16]Hapa warusi kuna mahali tunahujumiwa
Ingia mwenyewe kwenye mitandao ujionee sio unasikiliza huyu chawaDuh Russia atatoboa kweli??? Naanza kukosa matumaini, ila bado muda tunao
[emoji23][emoji23][emoji23]oyaaa acha kuwajejea basiHongera kwa Ukraine kwa ushindi.
Kwamba ukitoa jf ww unaingia mitandani kusoma habari ya hii vita ?Urusi ataishia kumalizwa. Bora aondoe majeshi yake kwenye nchi ya watu.
Wanavyoongea humu na vita ilivyo ni vitu viwili tofauti, si unajua tena kwa kujifariji hawa [emoji23]Baada ya masaa machache Zelenksy utamwona analia kwenye media akiomba kuongea na AU
[emoji24][emoji24] maskini Ukraine [emoji23][emoji23]Kajitakia, ile mitambo iliyoidhinishwa na congress toka Marekani kazi inaanza kuonekana
lia kwa Russia[emoji24][emoji24] maskini Ukraine [emoji23][emoji23]