Meli ya pili ya Urusi inaungua moto, Admiral Grigorovich (Navy) wanaendelea kuokoa

Meli ya pili ya Urusi inaungua moto, Admiral Grigorovich (Navy) wanaendelea kuokoa

Jamaa waliidharau hii ishu Lakin ni ngumu Urusi kutoboa na mbaya zaidi impact zitaanza kuonekana mwezi ujao! We are not concerned na loss za Ukraine, but any loss to Russia matter in our side
Hii vita itaigharimu sana Urusi.

Huenda Warusi wakaanza kujiuliza ikiwa Mzee Putin anapaswa kubaki Kremlin, anguko lake lipo njiani.
 
[emoji23]
Ukraine ataipiga Russia na atakomboa majimbo yote, na wale askari waliozungukwa kwenye kile kiwanda watatoka wote.
Oyaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] Inda sio nzuri katika kipindi hiki cha majozi [emoji23], sisi tunajitahid kuleta nyuzi zetu za Ukraine anashinda vita ila ww unatujejea alooo [emoji16]
 
Meli ya Urusi maarufu Kama Admiral Grigorovich ya Wanamaji inaungua karibu na kisiwa cha Zmiiny katika Black sea , ndege za uokoaji za Urusi zinaendelea na juhudi za kuzima moto

View attachment 2213776

The Admiral Grigorovich class, ambayo pia ujulikana Kama Krivak IV class, Russian designation Project 11356R/М, ilijengwa na the Yantar Shipyard huko Kaliningrad Kwa ajili ya shughuli za kivita za Urusi majini ( the Russian Navy and Indian Navy), Kwa gharama ya 450-500 mill$. Kwa viwango Talwar class ipo inaungua sasa

View attachment 2213778
Chanzo cha mlipuko bado hakijajulikana




Habari inawakera warusi wa Kibaigwa ila hatuna jinsi

Britanicca
Hakuna taarifa kama hizi Mitandaoni. Anaweza kuwa miungoni mwa team za propaganda za West. Naona taarifa za upotoshaji phasebook, BBC, CNN, Fox news, tuzihakiki toka France 24 hrs news, Russia , CHINA, ktk vyanzo vyote hivyo hakuna habari Kama hiyo.
 
Hakuna taarifa kama hizi Mitandaoni. Anaweza kuwa miungoni mwa team za propaganda za West. Naona taarifa za upotoshaji phasebook, BBC, CNN, Fox news, tuzihakiki toka France 24 hrs news, Russia , CHINA, ktk vyanzo vyote hivyo hakuna habari Kama hiyo.
Vijana ni wavivu wa kufatilia habari
 
Labda uwende ww ukawaukize warusi
Download habari saa 7 mchana Ujerumani, Putin anasema mataifa ya ULAYA na US wanacherewesha operation yake, malengo yapo palepale na wanachokifanya ni Vita ya Dunia ya Njaa .
MADHARA :
UK Chama tawala kimeshindwa vibaya ktk Serikari za Mitaa na Majimbo ni sababu ya mfumuko wa bei iliyokithiri.
USA, USHAWISHI WA RAIS WAO umeporomoka baada ya Wananchi wake kulishwa propaganda bila uhalisia ktk uwanja wa Vita.
 
Oyaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] Inda sio nzuri katika kipindi hiki cha majozi [emoji23], sisi tunajitahid kuleta nyuzi zetu za Ukraine anashinda vita ila ww unatujejea alooo [emoji16]
😹
😹
Nakuambiaje Israel akiingia ataipiga Russia vibaya mno, Niliona Russia wanaomba msamaha, hv we unajua Israel, hilo ni taifa teule, hao ukiwagusa umeisha.
 
Meli ya Urusi maarufu Kama Admiral Grigorovich ya Wanamaji inaungua karibu na kisiwa cha Zmiiny katika Black sea , ndege za uokoaji za Urusi zinaendelea na juhudi za kuzima moto

View attachment 2213776

The Admiral Grigorovich class, ambayo pia ujulikana Kama Krivak IV class, Russian designation Project 11356R/М, ilijengwa na the Yantar Shipyard huko Kaliningrad Kwa ajili ya shughuli za kivita za Urusi majini ( the Russian Navy and Indian Navy), Kwa gharama ya 450-500 mill$. Kwa viwango Talwar class ipo inaungua sasa

View attachment 2213778
Chanzo cha mlipuko bado hakijajulikana




Habari inawakera warusi wa Kibaigwa ila hatuna jinsi

Britanicca


Ninakazia: Habari inawakera warusi wa Kibaigwa ila hatuna jinsi
 
[emoji81]
[emoji81]
Nakuambiaje Israel akiingia ataipiga Russia vibaya mno, Niliona Russia wanaomba msamaha, hv we unajua Israel, hilo ni taifa teule, hao ukiwagusa umeisha.
Kabisaa yaaani [emoji1787][emoji1787] tahifa teure
 
Back
Top Bottom