Meli ya pili ya Urusi inaungua moto, Admiral Grigorovich (Navy) wanaendelea kuokoa

Meli ya pili ya Urusi inaungua moto, Admiral Grigorovich (Navy) wanaendelea kuokoa

Download habari saa 7 mchana Ujerumani, Putin anasema mataifa ya ULAYA na US wanacherewesha operation yake, malengo yapo palepale na wanachokifanya ni Vita ya Dunia ya Njaa .
MADHARA :
UK Chama tawala kimeshindwa vibaya ktk Serikari za Mitaa na Majimbo ni sababu ya mfumuko wa bei iliyokithiri.
USA, USHAWISHI WA RAIS WAO umeporomoka baada ya Wananchi wake kulishwa propaganda bila uhalisia ktk uwanja wa Vita.
Kwa Us ndo safi maana anaingiza kichaa tramp amesema yeye atapeleka wanajeshi wa Us Ukraini.
 
Moskva ilipozamishwa watu walimkataa kweli......ukweli ni kwamba tu mwenye macho haambiwi tazama

Vita ilipoanza malengo yalikuwa Kyiv iwe mikononi mwa Russia hamna anayekataa Ukraine ni taifa dogo kwa Urusi lakini anachofanya ni kumdhalilisha na kumfunua nguo tu

Ni ukweli Mchungu Vita imeisha Malengo hayajafikiwa
 
Tunawacheka kwa dharau hamna taarifa sahihi hayo ni mashudu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji123]View attachment 2213850
Hawa jamaa utawajua kabisa kama wanamaumivu makubwa na wamepoteza, si wao tu hata NATO kwa ujumla, mavikwazo yamewaishia wanaona Urusi bado anaendeleza operations zake hata habari hana, mpka papa kaenda kumuangukia Putin bado kagoma [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23], sasa basi wakiripua kihelikopta kimoja wanavyofurahi na kupiga mayoe utazani wameshinda vita, yaani inakua ndio nyuzi zao za kujifariji kuwa tumepiga kitu flani yaani mpaka bbc ndio habari yao kubwa[emoji16], sasa ujue kuwa jamaa wanakula kichapo sana wakipata wao mara1 wanasema Urusi kashindwa vita kwa kitu chake kimoja kudunguliwa
 
Moskva ilipozamishwa watu walimkataa kweli......ukweli ni kwamba tu mwenye macho haambiwi tazama

Vita ilipoanza malengo yalikuwa Kyiv iwe mikononi mwa Russia hamna anayekataa Ukraine ni taifa dogo kwa Urusi lakini anachofanya ni kumdhalilisha na kumfunua nguo tu

Ni ukweli Mchungu Vita imeisha Malengo hayajafikiwa
Halafu ukiwaambia mashabiki wa Urusi waliopo kibaigwa hawakubali .Baambie
 
Moskva ilipozamishwa watu walimkataa kweli......ukweli ni kwamba tu mwenye macho haambiwi tazama

Vita ilipoanza malengo yalikuwa Kyiv iwe mikononi mwa Russia hamna anayekataa Ukraine ni taifa dogo kwa Urusi lakini anachofanya ni kumdhalilisha na kumfunua nguo tu

Ni ukweli Mchungu Vita imeisha Malengo hayajafikiwa
Mkuu kuna mwamba mmoja huku alitupa kauli mbiu inayosema "MBWA KUMLA MBUSI SIO HABARI ILA MBUZI AKIMLA MBWA HIYO NDIO HABARI"
 
Meli ya Urusi maarufu Kama Admiral Grigorovich ya Wanamaji inaungua karibu na kisiwa cha Zmiiny katika Black sea , ndege za uokoaji za Urusi zinaendelea na juhudi za kuzima moto

View attachment 2213776

The Admiral Grigorovich class, ambayo pia ujulikana Kama Krivak IV class, Russian designation Project 11356R/М, ilijengwa na the Yantar Shipyard huko Kaliningrad Kwa ajili ya shughuli za kivita za Urusi majini ( the Russian Navy and Indian Navy), Kwa gharama ya 450-500 mill$. Kwa viwango Talwar class ipo inaungua sasa

View attachment 2213778
Chanzo cha mlipuko bado hakijajulikana




Habari inawakera warusi wa Kibaigwa ila hatuna jinsi

Acha wakereke tu Sio shida zetu...wazoee tu maana ndio kwanza Mambo yanaanza.
 
Oyaaaa [emoji23][emoji23]

[emoji91][emoji91][emoji91]the russian Ministry of defense announced that a su-25 and a mig-29 of the ukrainian Air Force Were Shot down in the luhansk region [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom