Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Nyamizi uje utetee msemo.Mkuu kuna mwamba mmoja huku alitupa kauli mbiu inayosema "MBWA KUMLA MBUSI SIO HABARI ILA MBUZI AKIMLA MBWA HIYO NDIO HABARI"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyamizi uje utetee msemo.Mkuu kuna mwamba mmoja huku alitupa kauli mbiu inayosema "MBWA KUMLA MBUSI SIO HABARI ILA MBUZI AKIMLA MBWA HIYO NDIO HABARI"
Mmeamua kujitia Moyo kwa kujifanya Eti mnadhihaki🤣🤣🤣🤣kumbe rohoni mmekerekwa vibayaaa.....Poleni sio kwa ubaya lakini ndio vile Tena Mambo sio Kama yalivyotarajiwaIsrael inaweza kuipiga dunia nzima, kwa wakati mmoja, sasa wakienda Ukraine, Russia itapigwa siku 3 tu.
Kabisaa yaaani [emoji1787][emoji1787] tahifa teure
😅😅 dada hivi hiyo picha ni wewe? I wish I could be ze wani eating..😍🤣🤣🤣🤣in somebody voice
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwahiyo ndo umekuja kupinga na haka kadude?!Wenzenu wanakataa kupigana na kueka silaha chini na kujisalimisha nyinyi ndio kwanza mnakuja na ngonjera [emoji16]View attachment 2213783
Mlisema mlishamaliza silaha zao zote, kumbe hadi ndege bado wanazo?Oyaaaa [emoji23][emoji23]
[emoji91][emoji91][emoji91]the russian Ministry of defense announced that a su-25 and a mig-29 of the ukrainian Air Force Were Shot down in the luhansk region [emoji91][emoji91][emoji91]
Na badala achutame,anajifanya kusimama wima.Chuma cha pili iko kinatitia,to be honest hii vita inamvua nguo mrusi
Makarov ndio next target ,prize bull ,nyama nono balaa -kamejaza kweli.Ni SHIP after SHIP....MOSKOVA,KRIVAK IV,sijui inafuta ipi!?
Umepanic sana hadi huwezi tena hata kuandika kwa usahihi.Meli inaungua moto,Russia ana struggle huko
'ukawaukize' [emoji846][emoji846]
Kazime moto huko,kuna meli na kiwanda chagua unakwenda kuzima wapi moto.Oyaaaa [emoji23][emoji23]
[emoji91][emoji91][emoji91]the russian Ministry of defense announced that a su-25 and a mig-29 of the ukrainian Air Force Were Shot down in the luhansk region [emoji91][emoji91][emoji91]
Wenzenu wanakataa kupigana na kueka silaha chini na kujisalimisha nyinyi ndio kwanza mnakuja na ngonjera [emoji16]View attachment 2213783
Tunawacheka kwa dharau hamna taarifa sahihi hayo ni mashudu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji123]View attachment 2213850
Ukraine hapigani na Urusi sasa hv kashawaachia wakubwa zake Western [emoji16][emoji16][emoji16] Huu mchezo hauitaji hasiraWenzenu wanakataa kupigana na kueka silaha chini na kujisalimisha nyinyi ndio kwanza mnakuja na ngonjera [emoji16]View attachment 2213783
Sawa sawa!mpaka kieleweke
hahahahaahha naomba kwa heshima na taadhima nimlete kwako mrusi mwenye hasira kali zaidi humu jf kutoka pande za kantalamba kule sumbawanga.Nakazia Simba kumla Mbuzi siyo habari,habari ni mbuzi kunyofoa mbavu za Simba kiulainii.Warussi wa JF wachague wapi wanaenda kuzima moto,kwa meli au kiwandani [emoji3][emoji3]
Oyaaaa [emoji23][emoji23]
[emoji91][emoji91][emoji91]the russian Ministry of defense announced that a su-25 and a mig-29 of the ukrainian Air Force Were Shot down in the luhansk region [emoji91][emoji91][emoji91]
Ruksa Mkuu,walete walete wote leo mimi na Joannah kazi yetu ni kuwapa makasiriko tukiongozwa na Mzee wa kuwakera britanicca [emoji3][emoji3]hahahahaahha naomba kwa heshima na taadhima nimlete kwako mrusi mwenye hasira kali zaidi humu jf kutoka pande za kantalamba kule sumbawanga.
STRUGGLE MAN
Walete hao sisi tuendelee kuwapa mafunzoRuksa Mkuu,walete walete wote leo mimi na Joannah kazi yetu ni kuwapa makasiriko tukiongozwa na Mzee wa kuwakera britanicca [emoji3][emoji3]