Meli ya pili ya Urusi inaungua moto, Admiral Grigorovich (Navy) wanaendelea kuokoa

Meli ya pili ya Urusi inaungua moto, Admiral Grigorovich (Navy) wanaendelea kuokoa

Israel inaweza kuipiga dunia nzima, kwa wakati mmoja, sasa wakienda Ukraine, Russia itapigwa siku 3 tu.
Mmeamua kujitia Moyo kwa kujifanya Eti mnadhihaki🤣🤣🤣🤣kumbe rohoni mmekerekwa vibayaaa.....Poleni sio kwa ubaya lakini ndio vile Tena Mambo sio Kama yalivyotarajiwa
Kabisaa yaaani [emoji1787][emoji1787] tahifa teure
 
Ni SHIP after SHIP....MOSKOVA,KRIVAK IV,sijui inafuta ipi!?
Makarov ndio next target ,prize bull ,nyama nono balaa -kamejaza kweli.

1651841321507.png
 
Wenzenu wanakataa kupigana na kueka silaha chini na kujisalimisha nyinyi ndio kwanza mnakuja na ngonjera [emoji16]View attachment 2213783

picha ya kimagendo et watu walio refuse kupigana halafu wanaonekana wameshika silaha bado huku mbele yao kuna askar mmoja ana beji ya kirussia mkononi na walio baki hawana ile alama ya kijeshi tunayoijua. popote kwene uniforms zao
 
Nakazia Simba kumla Mbuzi siyo habari,habari ni mbuzi kunyofoa mbavu za Simba kiulainii.Warussi wa JF wachague wapi wanaenda kuzima moto,kwa meli au kiwandani [emoji3][emoji3]
hahahahaahha naomba kwa heshima na taadhima nimlete kwako mrusi mwenye hasira kali zaidi humu jf kutoka pande za kantalamba kule sumbawanga.

STRUGGLE MAN
 
Back
Top Bottom